ChaterMaster
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 1,623
- 808
Huyu jamaa ni hewa sana na sijui kwann hajijui kuwa ye ni hewa..Really umeandika hewa
Nazan atakuwa utu uzima unamsumbua
Huyu jamaa ni hewa sana na sijui kwann hajijui kuwa ye ni hewa..Really umeandika hewa
Umemaliza mkuuKuonyesha una likes 19 inanisikitisha sana, maana umeandika upuuzi tu, wajinga wenzako wakaunga mkono, na inaonyesha ulisoma ukaishia form 2 alafu ukakimbia sayansi ukaenda masomo mepesi. Kila ulichopinga kinaelezeka, sitotaka kudiscuss hili maana ni 2017 hakuna mtu mwenye muda wa kubishana kama dunia ni duara, hilo lilijulikana miaka zaidi ya 500 iliyopita kama bado unabisha hadi leo basi ishi ufe kivyako ila ujinga wako usijaribu kuwapa watu wengine, ukiwa na watoto peleka shule wasome wakupite akili, usiwabane wawe kama wewe maana tutakua tunaongeza wajinga duniani.
Samahani kama utahisi lugha niliyotumia ni kali lakini ni ukweli. We hata ukiwekwa kwenye rocket ukarushwa kutoka nje ya dunia ujionee mwenyewe utarudi kusema labda walikupa madawa ya kulevya wakudanganye. Cha kushangaza unaamini JF ipo, hujui internet inafata principle hizi hizi tunazotumia kujua kua dunia ni duara. Nadhani tatizo ni ego tu.
Yaah ulimwengu unaexpand more than speed of light hii inapingana na relativity law ya Einstein,dark matter zinahusika na utanukaji wa universe kwahy universe is vast and still expanding so we will never see the end!Taratiibu mkuu, unataka kusema universe ina expand day to day?
Au ni kwamba binadam kutokana na uelewa wake mdogo ukijumlsha na technolojia ya vifaa ndio alishndwa kuyajua haya mapema
Atoe facts zinazoelewekaNdio hapo mi nnakuwa nawacwac na thinking yake.. Yan anavopnga utafikiri alishawahi hata kwenda mwezini, kumbe hata zanzbar hajafika sembuse kenya
Very Sure.. Huyu jamaa amenishangaza sana.Mkuu, jamaa anafikra ya 1D wakati watu wako 3D.
Mkuu naona science Imetulia kisawasawa Hongera zako
Sizani kama upo sahihi unaposema wanasayansi wanaenda kanisani kusali, fuatilia haya mambo vzuri na kwa mapana yake. Usikae ukasoma au ukasimuliwa stor na mtu fulan hafu ukaiamin jumla.Wasiwasi huu ndio unaowapata Wanasayansi waliobobea.
Kila siku wanawaza kuwa ikitokea hitilafu yoyote katika haya maumbo makubwa ya kwenye ulimwengu huu nani ataweza kuizuia ?
Mfano Jua likiisha nguvu yake na kupoteza Nuru yake nani atalikarabati lirudi katika hali yake ya kawaida ?
Sayari zikipoteza mwelekeo na kugongana nani atazuia maafa yanayotarajiwa ?
Nakadhalika na kadhalika mambo hayo ni ya kutisha sana.
Ndio maana unawaona Wanasansi wengi hasa Wazungu ambao ni wanatafiti sana hali ya mambo ya ulimwengu huu, wanaishia kwenda Kanisani kumwomba Mingu ili hali utulie hivyo hivyo kama ilivyo.
Isingekuwa hii hali ya utisho wa Ulimwengu, usingemwona Mwanasayansi hata mmoja Kanisani akiomba fadhila toka kwa Mungu.
Jua likiisogelea maili chache tu Dunia yetu itaungua na kuwa jivu.
Jua likisogea mbali na Dunia viumbe wote watakufa na baridi.
Jua likipoteza uasili wa Nuru yake mimea yote itakufa na haitaota mingine na kuharibu uhai wa viumbe wote.
Hivyo vimbunga vya El Nino na La Nina tu vinawazidi nguvu.
Tuzidi kumwomba Mungu hali iendelee kuwa kama ilivyo sasa.
Mi huyu jamaaa nimemwambia aache kubisha bila scientifc evidence, anatia aibuSasa wewe unabishana na wakati huna uhakika na hoja zako wenzako wanaweza wakaprove wanavyo visema. Wengine wametia mguu kabisa mwezini [emoji23]
Ok naona mkuu umevutiwa na mahusiano kati ya uwepo wa mungu na jins Science inavotuambia.mada imeenda mbali zaidi mpaka uharibivu wa mazingira na magonjwa.
lakini kule kwenye ulimwengu, galaxy, na dunia bado kuna mengi ya kujiuliza.
kama ilivyosemekana kwamba mwanga ndio husafiri kwa mwendo kasi zaidi kuliko chochote, na kama ilivyosemekana kwamba ziko galaxy nyingi katika ulimwengu na zinagarimu miaka bilion nyingi kuzifikia tena kwa kasi ya mwendo wa mwanga!
na hapo tunaona bado darubini hazija weza kuona mwisho wa ulimwengu, au ilipo mbingu makao makuu ya Mwenyezi Mungu.
sasa, kama kutoka katika galaxy ya kwetu ambayo pia ni ndogo kuliko nyingine inagarimu miaka milion kadhaa, je huko kwa Mungu ambako kuna binadamu waliwahi kusema wamefika mbingu ya 3 kati ya 7 walitumia muda kiasi gani?
kwamaana nataka kuamini mbingu ya kwanza mpaka hio ya saba ni nje ya ulimwengu.
Au Bwana Yesu alipo paa mbinguni kam ya semavyo maandiko huenda mpaka leo hajafika!!
tuchukue mwendo wake ni mara 100 ya kasi ya mwanga bado inagarimu mamilioni ya miaka!
mtazamo wangu kuna sehemu hatuambiwi ukweli kati ya sayansi na dini.
lakini Mungu atukuzwe maana hakuna kama yeye.
Ni kweki ndugu pia nimejifunza kitu hapa kwamba Mungu hafungwi na wakati au muda yeye ndie muanzilishi wa nyakati na alikuwepo kabla ya nyakati hivyo muda hauwezi kumzuia au kumpangia chochote.Ok naona mkuu umevutiwa na mahusiano kati ya uwepo wa mungu na jins Science inavotuambia.
Kifupi ni kuwa mambo ya mungu yanaenda kwa njia ya roho(isiyotambulika ktk mwili) ndiomana Yesu kutoka hapa duniani hadi mbinguni inaezekana ilikuwa fraction of second tu kwasabab huo ni ulimwengu wa roho.
Ila ss tunajadili mambo yanayotambulika physically ndiomana science ipo na ndio inayotuongoza.
Usichanganye dini na science hitaelewa kamwe. We tambua yupo muumba wa hv vtu vyote ila jukumu la kutambua mazingira yetu na jins ya kuyakabili ni la kwetu wenyewe
Kama anaamini dini abaki na dini yake, kumbe ndiomana anaongea vtu havieleweki kumbe anachanganya mamboShida ya Zenjbar anataka kutumia dini tu bila tafakari
Alichotakiwa ajifunze ni kwanini nyota zilizo umbali usioweza kuhesabika tunaziona jibu ni kwamba mwanga tuuonao ulisafiri mabilioni ya miaka kutufikia
Unajibu ki-layman sana
we ni mpinzani usiye na hoja (scientific evidence)
Unaongozwa na unachokiamin na sio ulichokitafiti
sizani kama ni sahih sana, kikubwa ungekazana wazaliwe wenye IQ kubwa. Kuzaliana wengi halafu mambumbumbu ni hopeless.Picha kama hii inanipa faraja sana,pamoja na changamoto zinazotukuta tuzaane kwa wingi.
View attachment 635589
Sio kwamba hawajui, ila ni ile kukosa uzalendo na kujawa ubinafsi - pia kuna kitu kingine cha ushamba wa mambo yaan mtu kupandshwa ndege mara kadhaa kufika new yock bas akil inamvuka anaona akitetea ukwel safar zitadoda na kibarua piaTumefanywa "guinea pigs" wa Pharmaceuticals companies,very sad,kama wanasiasa na wanataaluma wetu wangejua bigger picture huenda wangekomaa.
Nimependa hapo uliposema akil ya mwanadam pale inapoishia mungu ndio anajidhihirisha.Ni kweki ndugu pia nimejifunza kitu hapa kwamba Mungu hafungwi na wakati au muda yeye ndie muanzilishi wa nyakati na alikuwepo kabla ya nyakati hivyo muda hauwezi kumzuia au kumpangia chochote.
Pia mwanadamu akili yake inapogotea ndipo akili ya Mungu inapoazia. Kwahio Mungu anauwezo kuliko mwanadamu, na kwenye mada hii kunasehemu inasema mwanadamu na vifaa vyake wamefika kikomo katika tafiti zake, sasa kikomo cha mwanadamu ndio mwanzo wa Mungu.
Ninachojiuliza labda kuna nguvu shindani dhidi ya Mungu ambayo pia ni nje ya mwanadamu
Ofcoz nakubaliana nawewe kuwa mtu binafsi tuna utashi wa kohoji mambo na kuamua lipi sahih kwetu. Namm naipongeza sana hyo mentality ya independent mind maana ndio chanzo cha ugunduzi mwingi.mkuu naona umeniandama sana hahaha,mimi nnayo elimu ya university level lakini sipendi kujinasib na elimu hata kidogo wala siiwachi elimu ikanifunika macho na akili na wala siiwachi elimu kunipa mitazamo ya uhalisi wa kila kitu,binaadamu tuna hisia za kuishi hapa dunia ambazo tunaziamini katika maisha yetu ya kila siku,huwezi kuvuka barabara bila ya hisia zako wala huwezi kuendesha gari bila ya hisia na unaziamni kwa maisha yako kila siku na zinatuweka hai mpaka hapa tulipo.
kwahio nikiambiwa kuwa dunia inazunguka lakini hisia zangu haziwezi kuhisi hapo pana tatizo,nikiambiwa jua lipo 150mil km na macho yanaliona jua lipo juu ya utosi kila siku hapo pana tatizo,nikiambiwa gravity ndio inayotugandisha hapa tusipeperuke lakini mabofu na yanakwenda hewani hayazuiwi na wepesi wake hapo kuna tatizo,tukiambiwa dunia ni duara lakini hatuoni mpindo hapo hapako sawa kwa mtazamo wangu
tafauti yetu mimi na wewe ni imani tu,wewe unaamini kuwa ulinwengu uliofundishwa na science ni uhalisi na mini siamini kama huo ndio uhalisi na hakuna proof ya jambo lolote kila kitu ni faith based, hakuna picha ya dunia ya kweli,dunia haizunguki wala haina motion yeyote badala ya earth quake,katika mazingira yetu na uhalisi wa hapa duniani maji hayawezi kuganda nje ya tufe la dunia(sijui nje ya hapa duniani maji yangekuwaje) lakini hapa duniani maji yana sifa zake na haziwezi kuwa tafauti na sote tunalijua hilo lakini bado tunaamini maji yameganda nje ya tufe la dunia,maji ni lazima yawe level popote yalipo,na pia hakuna mtu hata mmoja aliewahi kuuona mpindo wa dunia iliofanya iwe tufe,ndege ziruka angani zote zinaweka cruising speed na zinatembea straight,hatujawahipo kuziona ndege zikizunguka tufe hata siku moja,na kama ndege zinaruka juu ya tufe safari za anga zisingewezekana kabisa
mambo ni mengi sana labda ungezipitia post zote nlizochangia hapa pengine kuna vitu ungekwenda kuvitazama mwenyewe kisha uje na maoni yako binafsi na uweke pembeni maandiko ya vitabu vya science
Mzee vp mbona kama umevurugwa,Kama mlienda vile kumbe mnagugo na kukopy toka kwny makala acheni upuuzi muwe na akili.
Hii inadhihiriasha ulivo hewa. Watu wanaweka scientific evidence we unatukana.. daah kweli mweus mweus tu..Acha nikutus fala ww
Mkuu ktk hoja za awali za kisayansi tupo pamoja maana ulikuwa unaweka facts, ila hapa katikati umeingiza mambo ya racism