Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Nakubaliana na wewe kabisa. Hii dunia ina siri kubwa sana na inawezekana kabisa dunia sio "duara" kama tulivyofundishwa. Kuna maswali mengi sana ya kujuiuliza ambayo hayana majibu kama kweli dunia ni duara. Kwa mfano;
1. Kama dunia ni duara na inajizungusha kwenye muhimili wake, kwanini basi ukiruka juu, unatua pale pale uliporikia na dunia haikuachi?
2. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu wote duniani, popote pale walipo, wakiangalia juu wanaona anga hilo hilo?
3. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu walio upande wa pili wa hili duara hawaanguki?

Na mimi nikuulize mkuu

1. Kama dunia siyo duara tuseme mfano ni tambarare je mwisho wake ni upi ? Nchi gani ipo mwisho wa dunia

2.Kama ni tambarare labda tuseme kama block na haielei je upande wa pili wa dunia kuna nini ? Au haina mwisho ? Imeenda mpaka wapi?

3.Mbona jua linazama na kurudi asubuhi ina maana linaenda then usiku linarudi fasta bila kuonekana na kuanza safari upya?

4. Kama dunia ni tambarare kwa nini china pawe usiku tanzania kuwe mchana ?
 
[/IMG]
 
Na mimi nikuulize mkuu

1. Kama dunia siyo duara tuseme mfano ni tambarare je mwisho wake ni upi ? Nchi gani ipo mwisho wa dunia

2.Kama ni tambarare labda tuseme kama block na haielei je upande wa pili wa dunia kuna nini ? Au haina mwisho ? Imeenda mpaka wapi?

3.Mbona jua linazama na kurudi asubuhi ina maana linaenda then usiku linarudi fasta bila kuonekana na kuanza safari upya?

4. Kama dunia ni tambarare kwa nini china pawe usiku tanzania kuwe mchana ?
Mimi sipingani na wewe ndugu island , Kama dunia ni duara kama wanavyosema, bado kuna maswali ambayo hayana majibu mpaka leo. Na kama dunia ni tambarare pia bado kuna maswali mengi tu ambayo hayana majibu. Vyovyote ilivyo; duara au tambarare, ni zaidi ya "sayansi" dunia kuwa kama ilivyo. Ni muujiza mkubwa sana uliofanywa na YEYE aliyeiumba!

1.Kama dunia ni duara kweli na inajizungusha kwenye mhimili wake kwanini ndege zikiruka juu hazipotei na kujikuta zipo upande mwingine wa duara?

2.Kama dunia ni duara kwanini maji ya bahari ambayo ndiyo mengi sana kuliko ardhi hayamwagiki upande wa pili wa duara hili?

3.
Kama dunia ni duara upande upi wa duara unaangalia chini na upande upi wa duara unaangalia juu?

earth.png

 
Picha kama hii inanipa faraja sana,pamoja na changamoto zinazotukuta tuzaane kwa wingi.
images (13).jpg
 
Sishangai mkosoaji hajawai hata kufanya research ya kutoka nje ya dunia tunayoishi ili akaleta hiyo research yake pasipo kutumia ufahamu wa watu
 
Wanawake wetu wanaotumia vipodozi vya kuchubua ngozi,wanaharibu DNA yetu,hivi vipodozi vitachangia kutumaliza.
 
Kuna haja ya kuzishawishi serikali zetu kuhusu haya,tuwe na udhibiti wa NGOs ambazo zinajifanya zina lengo zuri kumbe ni Trojan horses,(kufuta Uzazi wa mpango kumbuka tuna maradhi mbalimbali uzazi wa mpango wa nini) kutokuwaamini hao wanaojifanya kutusaidia,AU ianzishe kitengo maalumu kupambana na haya mashambulizi dhidi ya jamii yetu.
Mkuu unadhani viongozi wa kiafrica wana msukumo ktk haya maana wamejikita ktk siasa wengi wao wamelewa madaraka hawajui hata nini kinaendeo!
Tunawezaje kufanya kitu ambacho kina ushawishi ili tusaidie serikali kung'amua matatizo hatarishi tunayoletewa na wanaotaka kutuangamiza?
 
Back
Top Bottom