Bullycheka
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 560
- 493
Just imagine wale waafrika waliokuwa wanapewa pipi na vizawad vidogovidogo kama nguo ndio haohao waliwageuka waafrika wenzao kwa kwenda kuwakamata na kuwakusanya kwa kumfanyia kaz mzungu kisha kaz ya mzungu ikawa simple tu kuwaoakia bandarini au kwenye matren na kuwapeleka huko kwao.
Hvyo kama ni utumwa tulijiuza sisi wenyew kwa ujinga wetu tukawa tunauzana wenyewe kwa wenyewe, hv utaasema hyo ni akili au matope.[/QUOTE]
@CHATTER MASTER UMESEMA MENGI TU YENYE POINT,KWANZA UMATAKA TUTOKE VIPI KTK MAKUCHA YA HAWA WAZUNGU NA MABEBERU?
PIA TUPE MAANA YA NENO AFRICA AU UNAJUA NINI INAPOTAMKWA NENO AFRICA AU NENO AFRICA ILITOKANA NA NINI?
Hvyo kama ni utumwa tulijiuza sisi wenyew kwa ujinga wetu tukawa tunauzana wenyewe kwa wenyewe, hv utaasema hyo ni akili au matope.[/QUOTE]
@CHATTER MASTER UMESEMA MENGI TU YENYE POINT,KWANZA UMATAKA TUTOKE VIPI KTK MAKUCHA YA HAWA WAZUNGU NA MABEBERU?
PIA TUPE MAANA YA NENO AFRICA AU UNAJUA NINI INAPOTAMKWA NENO AFRICA AU NENO AFRICA ILITOKANA NA NINI?