Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Ninakushukuru kwakutupatia ufahamu kuhusu Galaxy yetu, ambayo kwa kiswahili inaitwa Kilimia. Na hiyo inatufanya sisi binadamu tujione kuwa duni sana hata kama tunajiona tumevumbua mambo mengi. Na hiyo inatulazimisha kuamini kuwa Yehova Mungu Aliyeumba mbingu na ARDHI YUPO
We enda uko akuna cha garaxy wala malashi dunia haina mwisho af ni kama zuria jua hivyo
 
Hyo ni Huble space telescope iko angani inachukua hizo picha,ni kama darubini Kali yenye uwezo mkubwa ,mambo ya kujua nyota ziko umbali gani mainly wana deal na mwanga unaotolewa na nyota wakat mwingine nitaandaa Uzi mwingine haya mambo yanahitaji ufafanuzi,so wait...
Ulishaitumia iyo darubin au umeiona kwenye tv na kuishia kuisoma tu?!
 
Galaxy kwenye observable universe yaani ulimwengu unaonekana ziko bil 400 ambayo ni umbali wa 93 light years,ila ukizungumzia ni ulimwengu usiojulikana wajuzi wanasema ziko kama trilioni 2
Sawa baba endelea kutulisha matango tunakula vizuri sana
 
2f626a58739223a955bbacd935f5dda5.jpg
Utu tupicha utu ndo tuna imanisha wadg zetu ndomana mimi home mpka leo madg wanaamini zile picha za mjanja wa kizungu ni yesu.
 
Kwa bahati mbaya chombo hiki mwisho wake ni 2018 yaani mwakani sijui kama watapewa bajeti(Nasa) ya kuki service chombo hichi ukizingatia ikulu imeshikwa na wafanya biashara,kinazidi kuvutwa na earth gravity ambayo wasipo kiboost kita angukia kwenye bahari ya pasific..tukiombee mungu chombo hichi kipate bajeti ya kukiboost kiendelee kutupa mwangaza kutoka mbaaaliii.inshaalah
Acheni uongo bwana embu kuweni asee mnasikitisha sana,mnaendelea kuchezewa kama midori mpka leo daah...
 
Hii Nebula inapatikana katika constellation ya serpen 7000 light years away. Katika hizi stellar distances ni karibu.kama dar chalinze ilivyo katika ukubwa wa dunia.
Kama mlienda vile kumbe mnagugo na kukopy toka kwny makala acheni upuuzi muwe na akili.
 
Back
Top Bottom