Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.

Akili za kuambiwa cha nganya na zako,Maisha yatakwenda tuu!.
 
swali linakuja hapa
katika nyota zote zilizo angani ambazo tunaziona,iliyo karibu sana ni 4.2 light years away

ikiwa tungeshindwa kuliona jua kwa umbali wa 40 lights minutes away, tunaziona vipi vyota zilizo na umbali wa 4.2 light years away
Kumbuka ukiangalia juu anaenda back in time huangalii sasa hivi kwa sababu ya vast distances jua lenyewe likisogezwa mbele mara mia bado tutaliona tu.likizidi kupelekwa mbali ndio utaseme aaa....kumbe lilikuwa NYOOTAAA AAISIII...
 
Kumbuka ukiangalia juu anaenda back in time huangalii sasa hivi kwa sababu ya vast distances jua lenyewe likisogezwa mbele mara mia bado tutaliona tu.likizidi kupelekwa mbali ndio utaseme aaa....kumbe lilikuwa NYOOTAAA AAISIII...
Kwa iyo ina maana kwamba Alpha Centauri Ikilipuka leo, tutaendelea kuiona kama ilivyo Mpaka mwaka 2021 Ndio
Tuutafahamu Supernova ilitokea..!? Mnh! Niwekeni Sawa wakuu
 
Kwa iyo ina maana kwamba Alpha Centauri Ikilipuka leo, tutaendelea kuiona kama ilivyo Mpaka mwaka 2021 Ndio
Tuutafahamu Supernova ilitokea..!? Mnh! Niwekeni Sawa wakuu
Sijafanya calculation ila kama uko sawa ndio maana yake, kuna baadhi ya maeneo likitokea leo tukio hatuwezi kulishuhudia katika maisha yetu hata ya vitukuu na vilembwe vyetu.kuna matukio yalitokea wakati dinosaurs wakiwepo ndio leo yako njiani au ndio tunaoyaona.
 
Sijafanya calculation ila kama uko sawa ndio maana yake, kuna baadhi ya maeneo likitokea leo hatuwezi kulishuhudia katika maisha yetu hata ya vitukuu na vilembwe vyetu.kuna matukio yalitokea wakati dinosaurs wakiwepo ndio leo yako njiani au ndio tunaoyaona.
Poa Mkuu
 
Hata vile vyombo Voyager1na2 tokea viondoke 1977ndio kwaanza viko ukingoni mwa solar system na ukipiga hesabu kulingana na ukubwa wa milkyway bado viko ubungo vinatakiwa vizunguke dunia mara kama tano hivi.
 
Thnx so much, wanageographia hii ndo inatufaa kutukumbusha
 
Mvugumizo mkubwa wa Corona kutoka kwenye jua haya matukio yanazidi kuongezeka,hivi vitu ndio NASA wanajaribu kutuficha ili kuondoa hofu.
Ndugu hawatufichi bali wanachunguza vitu hivyo ndio maana umetuma picha hiyo,unayoonyesha hapo km sio VOYAGER 1 tusingeijua kwa no matokeo yake kurudisha picha dunian kutoka ktk jua.
 
Wana JM mkitaka kufaidi nenda kule.play store tafuta hii kitu uone chukua hii kitu GOOGLE SKY MAP. imyaotokea ya kwanza chukua uww nayo ktk sim yako,mie mwenzenu ninayo zaid ya miaka 5 saa,natalii tu angani,nikitaka kuona makund,ya nyota nasearch tu hapo.

Ni rahaa sana nawashangaa baadhi yetu wanasema ni vitu vya KUSADIKIKA,laa hasha ndugu tafuta hiyo SKY MAP uone jinsi anga inavyotembea ktk kiganja cha mkono wako.

Raha sana
 
Elimu hii nimeipenda sana sasa naomba kuuliza hvi mvua hua inatengenezwa kwa umbali gan kutoka usawa wa ardhi yetu
 
Be first to reply
This is our Galaxy ulishahesabu kuna galyx ngapi kwenye universe. Tumekuwa tunaangalia tunaona different milk ways lakini hatujui ngapi? Kuhusu Saturn ukiiangalia usiku ukaona jinsi rings zake na miezi yake livyojipanga unajua kuna maajabu hapo ndo swali linakuja Mungu aliumba nini na kipi hakuumba?
 
Elimu hii nimeipenda sana sasa naomba kuuliza hvi mvua hua inatengenezwa kwa umbali gan kutoka usawa wa ardhi yetu
Mita 2000 kutoka usawa wa bahari ina maana ukipanda mlima kilimanjaro unayagusa mawingu
 
images.jpg
 
Moja ya geyser katika Yellowstone National Park huko Wyoming marekani. Mandhari yake ni mazuri sana, ila kuna hatari kubwa inainyemelea sayari yetu kutoka hapa hii ni Super volcano ni kubwa mara mia ya volcano ya kawaida,ikilipuka volcano hii inategemewa kulipuka muda wa maisha yetu au watoto wetu litakuwa tukio lakutisha dunia itaingia katika volcanic winter mimea itafeli kutokana na kukosa mwanga wa jua,njaa itayakayoua mamilioni ya wanadunia itafuata.
images.jpg
 
Back
Top Bottom