Illakwahhi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2017
- 465
- 742
Wanasayansi wengi wamekuwa wakielezea ulimwengu wetu kuwa ni dude kubwa mno lisilo kuwa na mwisho(means the universe size is almost infinity)
Leo hebu tuchambue na kuangalia ukubwa wa dunia yetu
Kabla ya kuendelea naomba kuelezea kidogo kuhusu Galaxy, huu ni mkusanyiko wa nyota,sayari na vyote vilivyoko katika ukanda husika,Galaxy hutofautiana sana kwa ukubwa ila ya kati inakadiriwa kuwa na nyota bilioni 400 na mabilioni ya sayari,Galaxy yetu inaitwa milky way ambayo ina mabilioni ya sayari na na nyota,hebu sasa twende kwa picha
1.Hii ni dunia yetu,sehemu tunamoishi
2:Huu ni mfumo wetu wa jua,solar system
3.Huu ni umbali kutoka duniani mpaka mwezini
katika umbali Huu wa mwezini mpaka duniani waweza Panga sayari Tisa na zikaenea!
4.Hii ni sayari ya Jupiter ni kubwa sana
Hicho kidoti kidogo amerika kaskazini
5.Huu ni mwonekano wa Saturn ukiweka dunia katika ringi zake,mwonekano wa dunia sita katika ringi zake
6.Hebu tulinganishe Jua na dunia,
Jua 1=dunia milioni 1!!!,yaani dunia kwenye jua inaingia mara milioni 1
7.Hii ni picha maarufu ya dunia iliyochukuliwa kutoka maili bilioni 4 ,hicho kidoti kidogo ni dunia
8.Tuliangalia kuwa katika jua dunia huingia Mara milioni moja
Hebu tulinganishe jua na nyota zingine
9.Kuna nyota inaitwa Articus ni Mara 16,000 ya jua,hicho kidoti kidogo ni jua
10:Kuna nyota inaitwa Alpha scropti ni kubwa Mara 690 milioni kuliko jua,hicho kidoti kidogo ni jua
11.Kuna nyota inaitwa VY Canis major ni kubwa Mara bilioni 2.9
Kuliko jua,hapo usisahau kulinganisha jua na dunia!
Hicho kidoti kidogo cha mwisho ni jua
12.Hebu tuangalia galaxy yetu,ni ukanda wenye nyota zaidi ya bilioni 400 pamoja na sayari zake
Ndani ya sekunde moja mwanga huzunguka dunia Mara saba na nusu,ukienda kwa speed hiyo ulitakuchukua miaka 100,000 kutoka katika ukanda wetu(milky way Galaxy)
13:milky way Galaxy ni kubwa sana,na hyo doti ya njano ni nyota tyu ambazo unauwezo wa kuziona kati ya mabilioni ya nyota
Najua umeshawishika kuona milky way Galaxy(ukanda wetu wa nyota ni mkubwa sana lakini nikuambia kuwa ni kidude kidogo sana ukilinganishwa na dubwasha kubwa la Galaxy liitwalo 1C1011,galaxy Hii ukienda na speed ya mwanga ambayo nilikueleza kuwa itakuchukua miaka 6,000,000
Milky way ni hicho kidoti kidogo kulinganisha na 1C1011 Galaxy
14.Hebu tuchukue Hubble telescope, picha Hii ina mabilioni ya Galaxy na kila Galaxy ina mabilioni ya nyota na sayari mabilioni pia na kila doti unayoona hapo ni galaxy nzima
Oooh umechoka ,subiri
Hii ni dunia
Tukizoom zaidi Hii ni solar system
Tukizoom tena tunaona majirani katika solar system katika picha nzima ya galaxy
Tukizoom tunaona milky way galaxy ni hicho kidoti!
Local galactic Group
Ni mkusanyiko wa galaxy zaidi ya 54 ikikadiriwa kuwa na gravitational force centre kati ya milky way galaxy na andromeda
Virgo Supercluster
Huu ni mkusanyiko wa galaxy zaidi ya 100 uliogunduliwa mwaka 2014,group hii ni moja tu kati ya milioni kumi ya namna hii!
Ulimwengu unaoonekana!
hapa tunaongelea pale ambapo darubini zetu na telescope zimeishia,kuna umbali wa 93 billions light years kwa diameter, kwahyo ulimwengu wote tunaoongelea tunaishia hapo kwenye huo mduara kinachoendelea baada ya hapo ni space na anga kwahyo anga halina mwisho,kwhy kwenye hyo mduara ndipo wanasayansi wanapoishia haimaanishi kuwa ndo mwisho wa ulimwengu la hasha,ila mpaka huo mpaka kuna galaxy billioni 400 kila galaxy moja ina mabilioni ya sayari na nyota,inakadiriwa kuwa kuna nyota nyingi katika anga kuliko vipunje vya mchanga dunia nzima
Kwenye huo mduara ndipo tulipoishia ila ulimwengu unapanuka kuliko speed ya mwanga unavosafiri,hebu fikiria mwanga ndani ya sekunde moja unazunguka dunia Mara 7.5 halafu ulimwengu unajitengeneza zaidi ya speed ya mwanga its really amaizing
Yaani ukitoka nje ya huo mduara tunaenda kugusa ulimwengu tusiojua,yaani sehemu ambazo telescope zetu hazijafika kuzichunguza,inamaana porojo zote hizi za mabilioni ya galaxy ni ndani ni mduara huo,
Kwahyo ukitaka kujua ulimwengu mzimaa
Unachukua ulimwengu tuuonao
Observable universe+unknown universe=Total universe
Nini maana ya ulimwengu tusiojua?(unknown universe?)
hii ni sehemu inayoendelea baada ya mduara huo ni sehemu hii ina nishati iitwayo dark energy ambayo inawezesha Galaxy mpya kuundwa kila siku, nyota,sayari na galaxy zinaendelea kujitengeneza kwa speed zaidi ya light na ukumbuke speed ya light unazunguka dunia Mara 7 ndani ya sekunde moja,kwahy kutokana na hali hii ulimwengu utakuwa mkubwa sana na binadamu hatutaweza kuuona mwisho wake
Je ulimwengu mzimaa kuna galaxy ngapi ?
Jibu ni zaidi ya trilioni mbili,ulimwengu huu ni mkubwa mno mno mno mno
Universe is really big
Paulo illakwahhi Jf member!
Leo hebu tuchambue na kuangalia ukubwa wa dunia yetu
Kabla ya kuendelea naomba kuelezea kidogo kuhusu Galaxy, huu ni mkusanyiko wa nyota,sayari na vyote vilivyoko katika ukanda husika,Galaxy hutofautiana sana kwa ukubwa ila ya kati inakadiriwa kuwa na nyota bilioni 400 na mabilioni ya sayari,Galaxy yetu inaitwa milky way ambayo ina mabilioni ya sayari na na nyota,hebu sasa twende kwa picha
1.Hii ni dunia yetu,sehemu tunamoishi
2:Huu ni mfumo wetu wa jua,solar system
3.Huu ni umbali kutoka duniani mpaka mwezini
katika umbali Huu wa mwezini mpaka duniani waweza Panga sayari Tisa na zikaenea!
4.Hii ni sayari ya Jupiter ni kubwa sana
Hicho kidoti kidogo amerika kaskazini
5.Huu ni mwonekano wa Saturn ukiweka dunia katika ringi zake,mwonekano wa dunia sita katika ringi zake
6.Hebu tulinganishe Jua na dunia,
Jua 1=dunia milioni 1!!!,yaani dunia kwenye jua inaingia mara milioni 1
7.Hii ni picha maarufu ya dunia iliyochukuliwa kutoka maili bilioni 4 ,hicho kidoti kidogo ni dunia
8.Tuliangalia kuwa katika jua dunia huingia Mara milioni moja
Hebu tulinganishe jua na nyota zingine
9.Kuna nyota inaitwa Articus ni Mara 16,000 ya jua,hicho kidoti kidogo ni jua
10:Kuna nyota inaitwa Alpha scropti ni kubwa Mara 690 milioni kuliko jua,hicho kidoti kidogo ni jua
11.Kuna nyota inaitwa VY Canis major ni kubwa Mara bilioni 2.9
Kuliko jua,hapo usisahau kulinganisha jua na dunia!
Hicho kidoti kidogo cha mwisho ni jua
12.Hebu tuangalia galaxy yetu,ni ukanda wenye nyota zaidi ya bilioni 400 pamoja na sayari zake
Ndani ya sekunde moja mwanga huzunguka dunia Mara saba na nusu,ukienda kwa speed hiyo ulitakuchukua miaka 100,000 kutoka katika ukanda wetu(milky way Galaxy)
13:milky way Galaxy ni kubwa sana,na hyo doti ya njano ni nyota tyu ambazo unauwezo wa kuziona kati ya mabilioni ya nyota
Najua umeshawishika kuona milky way Galaxy(ukanda wetu wa nyota ni mkubwa sana lakini nikuambia kuwa ni kidude kidogo sana ukilinganishwa na dubwasha kubwa la Galaxy liitwalo 1C1011,galaxy Hii ukienda na speed ya mwanga ambayo nilikueleza kuwa itakuchukua miaka 6,000,000
Milky way ni hicho kidoti kidogo kulinganisha na 1C1011 Galaxy
14.Hebu tuchukue Hubble telescope, picha Hii ina mabilioni ya Galaxy na kila Galaxy ina mabilioni ya nyota na sayari mabilioni pia na kila doti unayoona hapo ni galaxy nzima
Oooh umechoka ,subiri
Hii ni dunia
Tukizoom zaidi Hii ni solar system
Tukizoom tena tunaona majirani katika solar system katika picha nzima ya galaxy
Tukizoom tunaona milky way galaxy ni hicho kidoti!
Local galactic Group
Ni mkusanyiko wa galaxy zaidi ya 54 ikikadiriwa kuwa na gravitational force centre kati ya milky way galaxy na andromeda
Virgo Supercluster
Huu ni mkusanyiko wa galaxy zaidi ya 100 uliogunduliwa mwaka 2014,group hii ni moja tu kati ya milioni kumi ya namna hii!
Ulimwengu unaoonekana!
hapa tunaongelea pale ambapo darubini zetu na telescope zimeishia,kuna umbali wa 93 billions light years kwa diameter, kwahyo ulimwengu wote tunaoongelea tunaishia hapo kwenye huo mduara kinachoendelea baada ya hapo ni space na anga kwahyo anga halina mwisho,kwhy kwenye hyo mduara ndipo wanasayansi wanapoishia haimaanishi kuwa ndo mwisho wa ulimwengu la hasha,ila mpaka huo mpaka kuna galaxy billioni 400 kila galaxy moja ina mabilioni ya sayari na nyota,inakadiriwa kuwa kuna nyota nyingi katika anga kuliko vipunje vya mchanga dunia nzima
Kwenye huo mduara ndipo tulipoishia ila ulimwengu unapanuka kuliko speed ya mwanga unavosafiri,hebu fikiria mwanga ndani ya sekunde moja unazunguka dunia Mara 7.5 halafu ulimwengu unajitengeneza zaidi ya speed ya mwanga its really amaizing
Yaani ukitoka nje ya huo mduara tunaenda kugusa ulimwengu tusiojua,yaani sehemu ambazo telescope zetu hazijafika kuzichunguza,inamaana porojo zote hizi za mabilioni ya galaxy ni ndani ni mduara huo,
Kwahyo ukitaka kujua ulimwengu mzimaa
Unachukua ulimwengu tuuonao
Observable universe+unknown universe=Total universe
Nini maana ya ulimwengu tusiojua?(unknown universe?)
hii ni sehemu inayoendelea baada ya mduara huo ni sehemu hii ina nishati iitwayo dark energy ambayo inawezesha Galaxy mpya kuundwa kila siku, nyota,sayari na galaxy zinaendelea kujitengeneza kwa speed zaidi ya light na ukumbuke speed ya light unazunguka dunia Mara 7 ndani ya sekunde moja,kwahy kutokana na hali hii ulimwengu utakuwa mkubwa sana na binadamu hatutaweza kuuona mwisho wake
Je ulimwengu mzimaa kuna galaxy ngapi ?
Jibu ni zaidi ya trilioni mbili,ulimwengu huu ni mkubwa mno mno mno mno
Universe is really big
Paulo illakwahhi Jf member!