Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Illakwahhi

JF-Expert Member
Oct 13, 2017
465
742
Wanasayansi wengi wamekuwa wakielezea ulimwengu wetu kuwa ni dude kubwa mno lisilo kuwa na mwisho(means the universe size is almost infinity)
Leo hebu tuchambue na kuangalia ukubwa wa dunia yetu
Kabla ya kuendelea naomba kuelezea kidogo kuhusu Galaxy, huu ni mkusanyiko wa nyota,sayari na vyote vilivyoko katika ukanda husika,Galaxy hutofautiana sana kwa ukubwa ila ya kati inakadiriwa kuwa na nyota bilioni 400 na mabilioni ya sayari,Galaxy yetu inaitwa milky way ambayo ina mabilioni ya sayari na na nyota,hebu sasa twende kwa picha
1.Hii ni dunia yetu,sehemu tunamoishi
e7986b4df1a6dcfd7bd4dbac927c3958.jpg

2:Huu ni mfumo wetu wa jua,solar system
c9cc15d9ceacb485408d64d38227c771.jpg

3.Huu ni umbali kutoka duniani mpaka mwezini
6648e54ecb397ba1b7796197f9719faf.jpg

katika umbali Huu wa mwezini mpaka duniani waweza Panga sayari Tisa na zikaenea!
b9d1c30e8299e0fe4170436c29090c2e.jpg

4.Hii ni sayari ya Jupiter ni kubwa sana
0b66cffcacac5cd083e22849f048212a.jpg

Hicho kidoti kidogo amerika kaskazini
a4af9f3b32530281e4184ea8d20c8193.jpg

5.Huu ni mwonekano wa Saturn ukiweka dunia katika ringi zake,mwonekano wa dunia sita katika ringi zake
d363ce0def4d123c246389f455408808.jpg

6.Hebu tulinganishe Jua na dunia,
Jua 1=dunia milioni 1!!!,yaani dunia kwenye jua inaingia mara milioni 1
b18457c5d884695615d8095dcc497ccb.jpg

7.Hii ni picha maarufu ya dunia iliyochukuliwa kutoka maili bilioni 4 ,hicho kidoti kidogo ni dunia
5d5ee427832ee423816e3dbd1bc9772d.jpg

8.Tuliangalia kuwa katika jua dunia huingia Mara milioni moja

Hebu tulinganishe jua na nyota zingine
9.Kuna nyota inaitwa Articus ni Mara 16,000 ya jua,hicho kidoti kidogo ni jua
64b433d6d1d3b05c1731f809a5063a62.jpg

10:Kuna nyota inaitwa Alpha scropti ni kubwa Mara 690 milioni kuliko jua,hicho kidoti kidogo ni jua
a2b368b17cdfd5177a52ac4d12436df6.jpg

11.Kuna nyota inaitwa VY Canis major ni kubwa Mara bilioni 2.9
Kuliko jua,hapo usisahau kulinganisha jua na dunia!
fef7532d17719d0420b80a1a605613da.jpg

Hicho kidoti kidogo cha mwisho ni jua
12.Hebu tuangalia galaxy yetu,ni ukanda wenye nyota zaidi ya bilioni 400 pamoja na sayari zake
Ndani ya sekunde moja mwanga huzunguka dunia Mara saba na nusu,ukienda kwa speed hiyo ulitakuchukua miaka 100,000 kutoka katika ukanda wetu(milky way Galaxy)
13:milky way Galaxy ni kubwa sana,na hyo doti ya njano ni nyota tyu ambazo unauwezo wa kuziona kati ya mabilioni ya nyota
cb99f170004423544bae1d96e9f873eb.jpg


Najua umeshawishika kuona milky way Galaxy(ukanda wetu wa nyota ni mkubwa sana lakini nikuambia kuwa ni kidude kidogo sana ukilinganishwa na dubwasha kubwa la Galaxy liitwalo 1C1011,galaxy Hii ukienda na speed ya mwanga ambayo nilikueleza kuwa itakuchukua miaka 6,000,000
2e1681e59adcd87b3035e72beebb87d0.jpg

Milky way ni hicho kidoti kidogo kulinganisha na 1C1011 Galaxy

14.Hebu tuchukue Hubble telescope, picha Hii ina mabilioni ya Galaxy na kila Galaxy ina mabilioni ya nyota na sayari mabilioni pia na kila doti unayoona hapo ni galaxy nzima
270ca90c1ef5a2a0ab539407f434105a.jpg



Oooh umechoka ,subiri
Hii ni dunia
06314a6385d6488cc978c347e1c4ca27.jpg

Tukizoom zaidi Hii ni solar system
07554949025788fdc0f74b2d2fe6e3a9.jpg

Tukizoom tena tunaona majirani katika solar system katika picha nzima ya galaxy
f6bb8c4146cf6f0f0ef7117edcc249d1.jpg

Tukizoom tunaona milky way galaxy ni hicho kidoti!
d1d08b6ad4f60041a5ab3166a3e29af2.jpg


Local galactic Group
Ni mkusanyiko wa galaxy zaidi ya 54 ikikadiriwa kuwa na gravitational force centre kati ya milky way galaxy na andromeda

Virgo Supercluster
Huu ni mkusanyiko wa galaxy zaidi ya 100 uliogunduliwa mwaka 2014,group hii ni moja tu kati ya milioni kumi ya namna hii!

Ulimwengu unaoonekana!
hapa tunaongelea pale ambapo darubini zetu na telescope zimeishia,kuna umbali wa 93 billions light years kwa diameter, kwahyo ulimwengu wote tunaoongelea tunaishia hapo kwenye huo mduara kinachoendelea baada ya hapo ni space na anga kwahyo anga halina mwisho,kwhy kwenye hyo mduara ndipo wanasayansi wanapoishia haimaanishi kuwa ndo mwisho wa ulimwengu la hasha,ila mpaka huo mpaka kuna galaxy billioni 400 kila galaxy moja ina mabilioni ya sayari na nyota,inakadiriwa kuwa kuna nyota nyingi katika anga kuliko vipunje vya mchanga dunia nzima

20f8c30ff45def7abcdacc001882a96a.jpg

Kwenye huo mduara ndipo tulipoishia ila ulimwengu unapanuka kuliko speed ya mwanga unavosafiri,hebu fikiria mwanga ndani ya sekunde moja unazunguka dunia Mara 7.5 halafu ulimwengu unajitengeneza zaidi ya speed ya mwanga its really amaizing

Yaani ukitoka nje ya huo mduara tunaenda kugusa ulimwengu tusiojua,yaani sehemu ambazo telescope zetu hazijafika kuzichunguza,inamaana porojo zote hizi za mabilioni ya galaxy ni ndani ni mduara huo,
Kwahyo ukitaka kujua ulimwengu mzimaa

Unachukua ulimwengu tuuonao
Observable universe+unknown universe=Total universe

Nini maana ya ulimwengu tusiojua?(unknown universe?)
hii ni sehemu inayoendelea baada ya mduara huo ni sehemu hii ina nishati iitwayo dark energy ambayo inawezesha Galaxy mpya kuundwa kila siku, nyota,sayari na galaxy zinaendelea kujitengeneza kwa speed zaidi ya light na ukumbuke speed ya light unazunguka dunia Mara 7 ndani ya sekunde moja,kwahy kutokana na hali hii ulimwengu utakuwa mkubwa sana na binadamu hatutaweza kuuona mwisho wake

Je ulimwengu mzimaa kuna galaxy ngapi ?

Jibu ni zaidi ya trilioni mbili,ulimwengu huu ni mkubwa mno mno mno mno
Universe is really big

Paulo illakwahhi Jf member!
 
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
 
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaliangalia jua utakuta lipo ndani ya wingu la blue halipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
Na nini kinasababisha usiku na mchana
 
umewa
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
Umewai kupanda ndege mkuu haya majibu yote utayapata ukipanda ndege plane
 
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
Kwa mara ya kwanza umenifanya nifikirie tofauti na vile nilivyojifunza kuhusu the universe. You might have a point if somebody rethink deeply.
Swali la kujiuliza hizo pics za umbali wa thousands of kms from unkown source towards our galaxy zimepigwa kutokea wapi.? Na kama ni kutoka katika spaceships na setelite hivyo vyombo vilichukua muda gani kufika huo umbali wa thousands of km?
Nitarudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom