Illakwahhi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2017
- 465
- 744
- Thread starter
- #561
SafiNiaje paul
SafiNiaje paul
Ni kweli kuna viumbe ambavyo hata fikra zetu wanadamu haziwezi kufikiri vimeumbwaje ila vipo, sio lazima tuvione kwa macho.Bila shaka kuna sehemu nyingine yenye viumbe pengine vya ajabu sana
Mkuu nimekusoma ila kuna kitu kingine kinatuhusu sie wanadam kuja kutuumiza haswa vizazi vijavyo,bidhaa za
Wanachosema kuwa kutokana na population inavyo ongezeka hizi genetic modifications zitasaidia kuongeza chakula..no no noo!! Ukweli ni kwamba nature ya mwanaadamu ni tamaa, mimi naamini kabisa HIV virus wametengenezwa ili kutula haswa sisi watu wa Afrika,eti idadi kubwa ya watu wenye AIDS wako huku.haiwezekani ni wakati wa kuamka kutoka usingizini.Hapa napo kwa modified hizi hata ktk utunzaji wa mazingira hakuna tena kwani mazao/bidhaa uharibu ARDHI NA MWANADAMU pia.
Ok. Hayo uliyouliza yapo kiiman zaid ila,kumbuka kuwa kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Kuna kisa ktk Biblia soma Daniel 6 yote ile utaona kisa cha Daniel ktk shimo la simba baada ya kutupwa ktk lile shimo la simba na wale simba kushindishwa njaa walipofunguliwa ili wamtafune Daniel,kisa kinasema Mungu alimtuma malaika aje awafunge makanwa wale simba wasimdhuru Daniel.
Kwa ufafanuzi zaid ni kuwa wakat Daniel anatupwa ndan lile shimo ndipo yule maila na
ndio maana nikasema hapo mkuu kuna mahali hapako sawa ama dini au sayansi.
lakini sifa ziwe kwake yeye aliebuni hayo yooote yaani Mungu.
Hii Iss ukitaka kuiona inavyotembea angan pakua ISS live utaona tuISS iki orbit juu ya strait of Giblatar(Jebel tarik)View attachment 624895
Iko pia live stream kwenye you tube,kwa wale wanaoamini kuwa dunia iko flat ZENJIBARIA na kundi lake.Hii Iss ukitaka kuiona inavyotembea angan pakua ISS live utaona tu
Its important ukijua sio kila janga ni natural! Btw hakuna janga kama hilo wanalolisema la galaxy kuponda dunia, ila wameandaa "invasion" ili ionekane kwamba kuna viumbe kutoka "outerspace" vinavamia hivo dunia nzima iunganike na kuwa kitu kimoja kwa maana ya kwamba dini moja, sarafu moja, siku za/ya kuabudu moja, n.kGoing back in time,tunaiangalia Andromeda katika muda uliopita sasa hivi itakuwa imesogea.ushahidi wa kugongana kwa galaxy upo, kugongana ni sehemu ya uumbaji,kama vile matetemeko,tsunami,volcano.haya matukio yanayotokea ni sehemu ya uumbaji sio laana.
Mkuu Ulimwengu ni inje ya kufikiri kwetu fikiri kuna billions of galaxies na ktk galalaxy moja kuna billions za nyota (Jua) na katika kila nyota kuna makumi ya Sayari (Planet) Dunia hapa ulimwenguni ni nyingi zisizoweza kuhesabika kwa hiyo inje ya sayari lazima kuna maisha ya viumbe wengine ingawa sijui ni viumbe wa namna gani ila ni viumbe wa Mungu.kama ulimwengu ni mkubwa kiasi hicho, je yesu alipokuja hapa duniani kwa lengo la kuokoa huo wokovu ni kwaajili ya dunia tuu ama ulimwengu mzima?