Tumefanywa "guinea pigs" wa Pharmaceuticals companies,very sad,kama wanasiasa na wanataaluma wetu wangejua bigger picture huenda wangekomaa.Ukitaka kujua hilo ni kwamba kuna aina fulani ya dawa haitumiki ktk nchi zilioendelea bali zinatumika ktk nchi duni km huku africa au latin america au baadhi ya nchi za Asia. Zingalia tatizo si bei ya dawa ila ni km nchi ni za KUFANYIWA MAJARIBIO ktk masuala ya dawa.
Tumefanywa "guinea pigs" wa Pharmaceuticals companies,very sad,kama wanasiasa na wanataaluma wetu wangejua bigger picture huenda wangekomaa.
Mimi sio muumini wa ubaguzi,kuna wazungu wenye ubinaadamu wapo wengi tu,ila kuna waotaka kuplay god hao ndio tatizo,na wanatulenga sisi waafrika kwanza katika mipango yao ya kupunguza watu duniani. why africans?mbona nchi za Asia hazilengwi sana ,ni wakati wa kujitambua.Haya mambo wanayajua sema njia ya kujinasua ndo ngumu . Africa tulikuwa na maisha yetu ya kiafrica tatizo likaja pale ambapo tulianza kumfuata mzungu
Mimi sio muumini wa ubaguzi,kuna wazungu wenye ubinaadamu wapo wengi tu,ila kuna waotaka kuplay god hao ndio tatizo,na wanatulenga sisi waafrika kwanza katika mipango yao ya kupunguza watu duniani. why africans?mbona nchi za Asia hazilengwi sana ,ni wakati wa kujitambua.
The Maputo Protocol Demands Total Abortion Legalization
the right to control their fertility
Connect the dots, tuseme hapana kaeni na hela zenu.International Planned Parenthood Federation,
The fifty likes on this post makes me sick, really sick! It hurts to know the extent of our societies dumbassery!elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.
dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba
jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.
tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani
hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
What makes you think so?Kama si fiction hii elimu ya anga basi itakuwa ni elimu ambayo binadamu tumefundishwa na viumbe either vya kiroho ama viumbe toka galaxy zingine. Na si kwa maendeleo yetu ya teknolojia tiliyoifikia mpaka sasa.
The fifty likes on this post makes me sick, really sick! It hurts to know the extent of our societies dumbassery!
Eti hata jua liko umbali sawa na mwezi kutoka duniani?!!................argh, naomba nikutukane mkuu! (Naona kinyaa hata kukuita mkuu)
You surely need primary physics lessons!haina haja ya kutukana mkuu,unaweza ukaeleweka bila ya kupandisha jazba,hata mimi nlikuwa kama wewe nlikuwa naamini kila kitu kwa sababu ndivyo tulivyofundishwa,lakini saivi nimekuwa mtu mzima napata kutumia akili zangu na kujiuliza maswali mengi sana.
nilikua najua kuwa science ni chombo chenye kudili mambo ya ukweli na sio imani kama zilivyo dini, lakini kila nikiitazama elimu ya ulimwengu nashindwa kuuona ukweli,ni imani tupu,kila kitu kinasadikiwa na kukisiwa kisha vinafundishwa kama ni ukweli.
-natafuta proof ya mzunguko wa dunia hakuna
-proof ya umbali wa jua hakuna
-picha za dunia hakuna iliyo ya ukweli
-proof ya gravity hakuna mpaka sasa ni theory(inasadikika) na hii gravity ndio kiini cha kuwa sisi tunaishi nje ya chungwa na hakuna proof ya gravity
-proof ya satelites angani hakuna sisi tunaona picha tu
-ndege zinazoruka angani hatujawahipo kuziona ndege zinazunguka chungwa zikiruka, ndege zote zinaruka na cruising speed ya usawa
-maji hatujawahipo kuona mifano na tests zilowahi kufanywa maji kuganda nje ya dongo la dunia
-tumeoneshwa picha za core,mantle na crust za dunia,hatujui wamejuaje manake hakuna mtu aliewahi kuchimba akaona ni imani tu.
-natazama upindo wa dunia uluifanya ionekana kama chungwa hakuna popote wala hakuna mtu aliewahi kuona,na sote ndio tunaishi hapa duniani iweje tusione upindo.
-hakuna mtu yeyote aliyewahi kuhisi motion ya dunia,eti kisha tunaambiwa hatuhisi kwa sababu ni contant mbona earth quake ikitikea kila mtu anaihisi,kama sisi hatuwezi kudetect motion tusingeweza kudetect earth quake pia.
mambo ni mengi sana na kama utafatilia kila kitu ni imani tu hamna proof ya jambo lolote,kwa hio usitukane fungua akili kidogo tu na jiulize wewe ni nani,wapi unaishi? usitukane mkuu
Wanasiasa wa kiafrika ni walevi wa madaraka kushibisha matumbo yaoo ni ngumu kuelewa nini kinaendeleaTumefanywa "guinea pigs" wa Pharmaceuticals companies,very sad,kama wanasiasa na wanataaluma wetu wangejua bigger picture huenda wangekomaa.
Ni wakati muafaka sisi tunao lifahamu tatizo kuanzisha kampeni na mikakati kusaidia serikali yetu kuujua ukweli kabla hatuja chelewaHaya mambo wanayajua sema njia ya kujinasua ndo ngumu . Africa tulikuwa na maisha yetu ya kiafrica tatizo likaja pale ambapo tulianza kumfuata mzungu, tukaacha ya kwetu tukafuata ya kwao sasa imefika kipindi mzungu katuacha sana na hatuwezi kumfikia na at the same tushafika mbali kiasi kwamba kurudi nyuma pia ni ngumu. Basi tumebaki kwenye dillema sasa maisha ya muafrica hayaeleweki.