Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

hiyo picha ya milky way galaxy imepigwaje wkt hakuna kifaa kilichotoka nje ya galaxy yetu..?
Kuna chombo angani maarufu kwa jina la Hubble telescope settelitte,chombo hiki kina camera ya 4" ina uwezo mkubwa sana ya kupiga picha za vitu mbalimbali viliyoko angani ikiwepo, nebula,nyota,vimondo na magalaksi,hata galaxy hiyo ya milky way unayoshangaa ilipigwaje picha? Hzo zote n kazi ya hubble telescope ni chombo chenye uwezo mkubwa sana,chombo hiki kimegundua uumbaji mkubwa wa ajabu wa Mungu.

Hubble telescope ilirushwa angani miaka ile ya 1990 mwanzon.

Where Did the Name Hubble Come From?
Hubble is named after Edwin P. Hubble. He was an astronomer. An astronomer is a scientist who studies the planets, stars and space. Edwin P. Hubble made important discoveries about the universe in the early 1900s.
 
1508766995717.jpg
 
Siku hubble telescope iliporushwa angani kwa kutumia space shuttle ya nasa
 

Attachments

  • 1508767068970.jpg
    1508767068970.jpg
    89.1 KB · Views: 70
mkuu huo mduara wa sayari una maanisha upo kama disc na kwanini wanasayansi dunia nzima wanakubalina na nadharia ya dunia duara kama tufe wnapata faida gani kutudanganya.

sayari uhalisi wake hasa zilivyo siujui ila ukizitazama kwa telescope sayari ni lights zilizo angani kama ilivyo mwezi,jua na nyota ila zinapishana umbali,sizes na nguvu ya mwangaza, na hazipo kama ilivyo dunia kuwa na ardhi ni kama lights tu, na nikisema kupisha umbali sio mamilioni ya kilommeters inawezekana zipo kama umbali wa km 2000-5000 tu,au pengine chini ya hapo, binadamu macho yetu hayana uwezo wa kuona umbali wa hata km 100,000,na nyota iliyo karibu ni kwa maelezo ya science ni 4.2 light years ni kama 40 trillion km, sisi tuna uwezo gani wa kuziona nyota zilizo na masafa hayo kwa macho yetu? tena hizo ndio za karibu,nyota nyengine ziko mbali zaidi na tunaziona kwa macho yetu kila usiku.

na wana-science wetu ni kama sisi sote tunasoma vitabuni tu na huo usmati wetu ni wa vitabu tu,hata kwenye huu uzi wapo wana-science wa vitabuni hahaha, wasome humu utawaona wanavyoshusha nondo za copy and paste huku macho na akili wamezifunga, kwa mfumo wetu wa kielimu dunia nzima hatuwezi kutathmini chochote ikiwa usmati wetu ni ku-copy and paste tu,hata kama tunadanganywa hatuwezi kujua,kila kitu kishawekwa kipo kwenye vitabu,na ukitaka uonekane smart lazima uwe umevihifadhi vitabu kwa moyo,

haya mambo kama yana ukweli wanafunzi wote wangekuwa wanafanya practical ku-test na kujionea wenyewe mashuleni,wangekwenda field kupima mpindo wa dunia katika maeneo ya mito na bahari ambayo ndio yatakuwa level, fomula za kupima mpindo wa dunia zipo(Pythagoras a/2 = 3963/2 + 1/2 = 15705370) kwa lugha nyepesi ni kila mile square kuna mpindo wa kima cha 8 inches, lakini tunasomeshwa vitabuni tu tena mpaka ufikie elimu ya juu sana na kwa specific courses na sio kila mwanafunzi wa science, ndio mana husikii kabisa wanafunzi kuzitaja hizi fomula au wanafanya practical hizi,

pia wanafunzi wangetakiwa kutengeneza mazingira yaliyo na vaccum kama space ili kutest na kuonesha dongo kuelea hewani na maji kuganda nje ya dongo kama dunia ilivyo,tests aina hii hazijawahipo kufanywa popote duniani,kinachofanya ni kucopy and paste maandiko tu bas,kisha mwanafunzi akiwa na uwezo wa kuhifadhi vitabu akilini anagraduate na kupewa shahada na anaitwa scientist.
 
sayari uhalisi wake hasa zilivyo siujui ila ukizitazama kwa telescope sayari ni lights zilizo angani kama ilivyo mwezi,jua na nyota ila zinapishana umbali,sizes na nguvu ya mwangaza, na hazipo kama ilivyo dunia kuwa na ardhi ni kama lights tu, na nikisema kupisha umbali sio mamilioni ya kilommeters inawezekana zipo kama umbali wa km 2000-5000 tu,au pengine chini ya hapo, binadamu macho yetu hayana uwezo wa kuona umbali wa hata km 100,000,na nyota iliyo karibu ni kwa maelezo ya science ni 4.2 light years ni kama 40 trillion km, sisi tuna uwezo gani wa kuziona nyota zilizo na masafa hayo kwa macho yetu? tena hizo ndio za karibu,nyota nyengine ziko mbali zaidi na tunaziona kwa macho yetu kila usiku.

na wana-science wetu ni kama sisi sote tunasoma vitabuni tu na huo usmati wetu ni wa vitabu tu,hata kwenye huu uzi wapo wana-science wa vitabuni hahaha, wasome humu utawaona wanavyoshusha nondo za copy and paste huku macho na akili wamezifunga, kwa mfumo wetu wa kielimu dunia nzima hatuwezi kutathmini chochote ikiwa usmati wetu ni ku-copy and paste tu,hata kama tunadanganywa hatuwezi kujua,kila kitu kishawekwa kipo kwenye vitabu,na ukitaka uonekane smart lazima uwe umevihifadhi vitabu kwa moyo,

haya mambo kama yana ukweli wanafunzi wote wangekuwa wanafanya practical ku-test na kujionea wenyewe mashuleni,wangekwenda field kupima mpindo wa dunia katika maeneo ya mito na bahari ambayo ndio yatakuwa level, fomula za kupima mpindo wa dunia zipo(Pythagoras a/2 = 3963/2 + 1/2 = 15705370) kwa lugha nyepesi ni kila mile square kuna mpindo wa kima cha 8 inches, lakini tunasomeshwa vitabuni tu tena mpaka ufikie elimu ya juu sana na kwa specific courses na sio kila mwanafunzi wa science, ndio mana husikii kabisa wanafunzi kuzitaja hizi fomula au wanafanya practical hizi,

pia wanafunzi wangetakiwa kutengeneza mazingira yaliyo na vaccum kama space ili kutest na kuonesha dongo kuelea hewani na maji kuganda nje ya dongo kama dunia ilivyo,tests aina hii hazijawahipo kufanywa popote duniani,kinachofanya ni kucopy and paste maandiko tu bas,kisha mwanafunzi akiwa na uwezo wa kuhifadhi vitabu akilini anagraduate na kupewa shahada na anaitwa scientist.
Really umeandika hewa
 
sayari uhalisi wake hasa zilivyo siujui ila ukizitazama kwa telescope sayari ni lights zilizo angani kama ilivyo mwezi,jua na nyota ila zinapishana umbali,sizes na nguvu ya mwangaza, na hazipo kama ilivyo dunia kuwa na ardhi ni kama lights tu, na nikisema kupisha umbali sio mamilioni ya kilommeters inawezekana zipo kama umbali wa km 2000-5000 tu,au pengine chini ya hapo
2000 hadi 5000 km? Inamaana wakati Nyota ilipolippuka ika acha mabaki ya Crab Nebula isingetuacha salama gamma rays zingetumaliza mara moja.
images.jpg
 
Kuna chombo angani maarufu kwa jina la Hubble telescope
Kwa bahati mbaya chombo hiki mwisho wake ni 2018 yaani mwakani sijui kama watapewa bajeti(Nasa) ya kuki service chombo hichi ukizingatia ikulu imeshikwa na wafanya biashara,kinazidi kuvutwa na earth gravity ambayo wasipo kiboost kita angukia kwenye bahari ya pasific..tukiombee mungu chombo hichi kipate bajeti ya kukiboost kiendelee kutupa mwangaza kutoka mbaaaliii.inshaalah
 
mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.
549-800.jpg
themoon.jpg

Kama madai yako ni kweli hizo impact craters mbona zinakuumbua,hilo wingu jeusi likowapi
 
Bila Hubble Telescope tusingepata picha clear kama hizi,ambazo zinaonyesha nyota zikizaliwa katikati ya vumbi na gesi katika Eagle Nebula
image_2388_1e-Pillars-of-Creation.jpg
s
 
Ameandika kama vile ametoka usingizini..Mambo kama hayo ndio yanatufanya tushindwe hata kutengeneza njiti za kiberiti.Hata karatasi za kuchambia..huko watu wameumiza vichwa kujua nje ya dunia yet kuna nini.Watu wangekuwa na mawazo ya jamaa kusema ni kufikirika basi hata haya magari,simu,whatsapp na JF isingekuwepo.Ndio Utajua kwanini waafrika tupo hivi mpaka leo.Ametoa mawazo ya 84% kwa 16% then 50 ..50 mgao faida.Watu weupu watazidi kutupita tukizidi kuwa hivi.
Hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom