Kwa hali ilivyo sasa rais Samia asisubiri hadi alazimike kufanya maridhiano ya mapya na vyama vya upinzan juu ya madai ya msingi kuhusu uchaguzi mkuu.

Kwa hali ilivyo sasa rais Samia asisubiri hadi alazimike kufanya maridhiano ya mapya na vyama vya upinzan juu ya madai ya msingi kuhusu uchaguzi mkuu.

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
17,276
Reaction score
23,568
Hali ya kisiasa nchini inaendelea kuwa tete huku watu wengi zaidi wakiendelea kukosa imani na mchakato wa uchaguzi kila kukicha. Kiufupi Polepole ambaye ni kada wa ndani wa CCM emeendelea kuwafungua macho watanzania huku shauku ya kumsikiliza ikizidi kukua kila pahali.

Komredi Polepole amefungua mapya usiku wa jana na kuonesha mbinu kubwa inayotumiwa na chama tawala kushinda chaguzi zilizopita na hata zijazo. Watu wengi mtaani wameonesha kushangazwa lakini pia kuamini kuwa ni ndoto kwa CCM kuondolewa madarakani kwa tume hii ya uchaguzi na mfumo mzima wa utawala wa nchi.

Ni vyema na busara sana kama rais Samia akasoma alama za nyakati mapema na kutafuta maridhiano ya kweli na upande wa upinzani kuhusu madai ya msingi ya vyama vya upinzani kabla hajachelewa na kulazimika kufanya hivyo bila kupenda.
 
Hali ya kisiasa nchini inaendelea kuwa tete huku watu wengi zaidi wakiendelea kukosa imani na mchakato wa uchaguzi kila kukicha. Kiufupi Polepole ambaye ni kada wa ndani wa CCM emeendelea kuwafungua macho watanzania huku shauku ya kumsikiliza ikizidi kukua kila pahali.

Komredi Polepole amefungua mapya usiku wa jana na kuonesha mbinu kubwa inayotumiwa na chama tawala kushinda chaguzi zilizopita na hata zijazo. Watu wengi mtaani wameonesha kushangazwa lakini pia kuamini kuwa ni ndoto kwa CCM kuondolewa madarakani kwa tume hii ya uchaguzi na mfumo mzima wa utawala wa nchi.

Ni vyema na busara sana kama rais Samia akasoma alama za nyakati mapema na kutafuta maridhiano ya kweli na upande wa upinzani kuhusu madai ya msingi ya vyama vya upinzani kabla hajachelewa na kulazimika kufanya hivyo bila kupenda.
Hapumui amezungukwa na virusi
 
Hali ya kisiasa nchini inaendelea kuwa tete huku watu wengi zaidi wakiendelea kukosa imani na mchakato wa uchaguzi kila kukicha. Kiufupi Polepole ambaye ni kada wa ndani wa CCM emeendelea kuwafungua macho watanzania huku shauku ya kumsikiliza ikizidi kukua kila pahali.

Komredi Polepole amefungua mapya usiku wa jana na kuonesha mbinu kubwa inayotumiwa na chama tawala kushinda chaguzi zilizopita na hata zijazo. Watu wengi mtaani wameonesha kushangazwa lakini pia kuamini kuwa ni ndoto kwa CCM kuondolewa madarakani kwa tume hii ya uchaguzi na mfumo mzima wa utawala wa nchi.

Ni vyema na busara sana kama rais Samia akasoma alama za nyakati mapema na kutafuta maridhiano ya kweli na upande wa upinzani kuhusu madai ya msingi ya vyama vya upinzani kabla hajachelewa na kulazimika kufanya hivyo bila kupenda.

niujuavyo Mimi, majini (mapepo) huwa yana viburi sana. Sana.
 
Tafsiri ya Cartoon

Pole Pole anawaambia CCM na Serikali kuhusu mwendo hatarishi katika kuongoza nchi na rough za uchaguzi ila wao wamekomaa mwendo wa ngiri mkia juu na hawana brake... what do they expect?
IMG-20250822-WA0066.jpg
 
Back
Top Bottom