Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

Mahakama iliamuru apimwe vinasaba na mabaki yaliyopatikana DNA result ikaonyesha ni wake 99%

Sa mpaka anamtoa kafaaa Anajua ni damu yake kabisa

Hivi tulipofika watu tunathamini pesa kuliko utu namna hii?
Mwanao kipenzi?
Mbona kuuza imekuwa jambo rahisi sana tuendako?
Hii inafikirisha sana nazungumzia mimi sio kupimwa yeye labda hakupina mwanzo ila maneno ya kuudhi ya mwanamke wake labda ndio yaliyochochea, hapo si umezungumzia makundi sasa kundi moja wapo ni mwanamke aliezaa nae unajua walizungumza nini kabla hajafanya tukio?
 
Kuna vitu vya kuwasingizia wanawake ila hili ni tamaa binafsi za kuwa tajiri
Sijasema kuwasingizia mkuu, hapo Actus Reus & Mens Rea lazima zitumike mpaka anatiwa hatiani yaan yale matukio yote jumuishi yaliyopelekea yeye kufanya tukio, sasa tukio moja wapo ni hilo la mazungumzo na mama wa mtoto unajua walizungumza nini na huyo mama wa mtoto kabla ya kufanya tukio? Maana hilo ni jambo la kutumia akili mtu mwenye akili sawa sawa hawezi akafanya hivyo hata km ameshawishiwa na mganga au mtu wa aina gani
 
Ndio maana nikarudisha mpira kwa kipa, labda mwanamke aliropoka maneno fulani yale ya kwanza huyu mtoto ana baba yake wewe sio baba yake usinibabaishe na chochote, mwamba akaona isiwe tabu akafungua bucha
Unajaribu kutafuta kitu cha kuhalalisha au kupooza huu unyama kwa sababu ambazo hata mimi sizijui. Hivi kuna uhalali wa kumfanyia mtoto yeyote namna hiyo?
 
Kupanga ni kuchagua kama angewin angepata machawa wajinga wajinga
Asingeweza ku-win kwa sababu huwezi kuwa tajiri kwa kuua mtoto wako. Hizi ni imani za kijinga kabisa na najua watanzania wengi wanaamini kwenye huu upumbavu. Ukiaona mtu anayeamini eg chuma ulete, hiyo ni nursery tosha ya kufikia kuamini kwenye ujinga kama huu.
 
Unajaribu kutafuta kitu cha kuhalalisha au kupooza huu unyama kwa sababu ambazo hata mimi sizijui. Hivi kuna uhalali wa kumfanyia mtoto yeyote namna hiyo?
Anajaribu kuleta hoja kama vile ni halali na Haina shida kama mtoto umebambikiwa sio wako
Awe wako asiwe wako bado haijustify kufanya huo unyama
 
Tazama picha za Jose wa Kitaa na Jose huyo huyo ndani ya vizimba vya mahakama Iringa .

Ndoto za kusaka utajiri zitaishia jela kwa kijana Joseph aliyemkatakata mtoto wake na kusagasaga mifupa yake na kuiweka kwenye tenki la maji machafu.

Picha za Jose hazina hatia kabisa, anaonekana alikuwa mpambanaji na bodaboda yake.

Lakini alikua anakaa na nani kwenye makundi? Nani alikua anamshauri? Ni dhahiri alikaa na mtu mwenye mafanikio akamwambia alimtoa kafara mwanae.

Kuna msemo unasema 'nionyeshe rafiki yako nikwambie wewe ni nani".


Proverbs 13:20
[20]He that walketh with wise men shall be wise: but a companion of fools shall be destroyed.
Enenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.
Aisee
 
Tazama picha za Jose wa Kitaa na Jose huyo huyo ndani ya vizimba vya mahakama Iringa .

Ndoto za kusaka utajiri zitaishia jela kwa kijana Joseph aliyemkatakata mtoto wake na kusagasaga mifupa yake na kuiweka kwenye tenki la maji machafu.

Picha za Jose hazina hatia kabisa, anaonekana alikuwa mpambanaji na bodaboda yake.

Lakini alikua anakaa na nani kwenye makundi? Nani alikua anamshauri? Ni dhahiri alikaa na mtu mwenye mafanikio akamwambia alimtoa kafara mwanae.

Kuna msemo unasema 'nionyeshe rafiki yako nikwambie wewe ni nani".


Proverbs 13:20
[20]He that walketh with wise men shall be wise: but a companion of fools shall be destroyed.
Enenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.
Tazama picha za Jose wa Kitaa na Jose huyo huyo ndani ya vizimba vya mahakama Iringa .

Ndoto za kusaka utajiri zitaishia jela kwa kijana Joseph aliyemkatakata mtoto wake na kusagasaga mifupa yake na kuiweka kwenye tenki la maji machafu.

Picha za Jose hazina hatia kabisa, anaonekana alikuwa mpambanaji na bodaboda yake.

Lakini alikua anakaa na nani kwenye makundi? Nani alikua anamshauri? Ni dhahiri alikaa na mtu mwenye mafanikio akamwambia alimtoa kafara mwanae.

Kuna msemo unasema 'nionyeshe rafiki yako nikwambie wewe ni nani".


Proverbs 13:20
[20]He that walketh with wise men shall be wise: but a companion of fools shall be destroyed.
Enenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.
Lakini alikua anakaa na nani kwenye makundi? Nani alikua anamshauri? Ni dhahiri alikaa na mtu mwenye mafanikio akamwambia alimtoa kafara mwanae.
downloadfile.jpg
downloadfile-1.jpg
downloadfile-2.jpg
downloadfile-3.jpg
 
Anajaribu kuleta hoja kama vile ni halali na Haina shida kama mtoto umebambikiwa sio wako
Awe wako asiwe wako bado haijustify kufanya huo unyama
Ni kweli sister. Tena kisheria kufanya hivyo kwa sababu umeambiwa mtoto siyo wako ni mbaya zaidi kwa sababu motive ya kutenda unyama kama huu inajumuisha mambo mengi kulinganisha na mtu ambaye amekuwa brain washed na kuamini. All in all, huu ni unyama unaotakiwa kupingwa kwa adhabu kali kabisa.
 
Na huyu mhanga ni mkinga halafu mkazo wa iringa.huko kwao haya mambo yametaradadi sana.
Halafu watu wanawasifia Wakinga kuwa ni wachapakazi na watunza akiba. Kumbe utajiri wa masharti na makafara.

Tajiri ana gorofa Kariakoo lakini anakula kwa mama nitilie na kuvaa makambuga. Hayo mautajiri hayana faida yeyote
 
Sijasema kuwasingizia mkuu, hapo Actus Reus & Mens Rea lazima zitumike mpaka anatiwa hatiani yaan yale matukio yote jumuishi yaliyopelekea yeye kufanya tukio, sasa tukio moja wapo ni hilo la mazungumzo na mama wa mtoto unajua walizungumza nini na huyo mama wa mtoto kabla ya kufanya tukio? Maana hilo ni jambo la kutumia akili mtu mwenye akili sawa sawa hawezi akafanya hivyo hata km ameshawishiwa na mganga au mtu wa aina gani
Intention to kill alikuwa nayo yeye actus reus bado inamuangukia yeye jamaa hata kama mens rea ni mkewe bado atakuwa suspect no 2! Hiyo ni malice aforethought!!
 
Waganga wa kienyeji wamepotosha na kuharibia wengi sana
Wengine ni watu waliofanikiwa kwa njia za kificho na hawawezi kusema ukweli na kubaki kudanganya
Wengi wanafanya hivi kwa sababu huwa wanashindwa kutafakari kwa kina. Unaweza kwenda kwa mganga, akakumbia nenda kafanye kafara abc, na baada ya kufanya ukafanikiwa. Hii haimaniishi kuwa ile kafara ndiyo imekusaidia.
 
Back
Top Bottom