Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

Unatafuta exception au? Atawajibika kama kawaida hata kama wataongeza hao crime suspects wengine na adhabu zao hazitofanana..
Wewe kumbe tukiwekwa Mawakili wa pande mbili tofauti nakutoa knockout, umeelewa logic and reasoning yangu kwenye hilo suala, nimekwambia ameshinikizwa kuua hakukusudia kuua umenielewa au hujanielewa? Sasa mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya hivyo kuna kitu nyuma kilichomsukuma yeye kufanya mauaji ila sio kwa makusudi, mpaka hapo tumeelewana? Kitu kimoja wapo ni mama wa huyo mtoto unajua walizungumza nini kabla ya jamaa kuchukua hayo maamuzi ya kumkatakata vipande huyo mtoto?
 
hata hao waganga wanashawishi na kudanganya tu.mwisho wa siku maamuzi ni yako.kwa akili zako utaamua
Mganga anakwambia ukiitoa damu yako labda mwanao au mzazi wako utajiri ni uhakika na kashawasaidia wengi nawe unashawishika

Lakini ukikaa ukajiuliza huyo mganga ye hautaki utajri?
Hataki wanae wasome shule nzuri?
Wavae vizuri?
Hataki kuishi pazuri?
Mbona ye huyo mwanae hamtoi aachane na huo uganga akafanye mishe za maana huko nje kama tajiri?

Hapo ndipo akili yako itapokujibu kuwa yule ni muongo.ama njia nnayoiendea sio sahihi ni ya muda tu.
naam mkuu hapo ipo very clear, tena huyo mtuhumiwa kama wakipata mganga wake aunganishwe tu
 
Kampani hazina shida. Hata kama alishauriwa; mamlaka hazijahangaika na kampani, zimedili na mihusika.

Huwezi kukwepa kampani. Kama huwezi kuchanganua mambo, basi mantiki yakuendelea kuishi uraiani inapoteza maana.

Kama kampani inatakiwa ilaumiwe, basi kila mtu anayosababu ya kusingizia hiyo kampani na hakuna mwenye kosa.

Hii inaendea pia kwa walevi na malaya.. wamekuwa wakisingizia pombe na shetani.

Kila mtu awajibike kwa anayoyatenda, tusitafute kichaka
 
Wewe kumbe tukiwekwa Mawakili wa pande mbili tofauti nakutoa knockout, umeelewa logic and reasoning yangu kwenye hilo suala, nimekwambia ameshinikizwa kuua hakukusudia kuua umenielewa au hujanielewa? Sasa mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya hivyo kuna kitu nyuma kilichomsukuma yeye kufanya mauaji ila sio kwa makusudi, mpaka hapo tumeelewana? Kitu kimoja wapo ni mama wa huyo mtoto unajua walizungumza nini kabla ya jamaa kuchukua hayo maamuzi ya kumkatakata vipande huyo mtoto?
Kwani mi nimekwambia mimi ni wakili?
 
Tulishapiga kelele sana humu kwamba hakuna utajiri wa kishetani, kishirikina au kichawi.

Tatizo watanzania wengi ni wajinga. Hawataki maarifa, wanapenda imani potofu za utajiri wa kusadikika.

 
Kampani hazina shida. Hata kama alishauriwa; mamlaka hazijahangaika na kampani, zimedili na mihusika.

Huwezi kukwepa kampani. Kama huwezi kuchanganua mambo, basi mantiki yakuendelea kuishi uraiani inapoteza maana.

Kama kampani inatakiwa ilaumiwe, basi kila mtu anayosababu ya kusingizia hiyo kampani na hakuna mwenye kosa.

Hii inaendea pia kwa walevi na malaya.. wamekuwa wakisingizia pombe na shetani.

Kila mtu awajibike kwa anayoyatenda, tusitafute kichaka
Ni kweli kampani haziwezi kulaumiwa.lakini Ina mchango wake mpaka mtu anafikia hatua hii sio yeye binafsi.kuna nguvu nyingine imechangia ukiondoa ufinyu wa kufikiri na kuchanganua mambo wa muhusika mkuu.
Watu wanakwambia Fanya hiki na kile utafanikiwa
Baada ya hapo nawe ujiulize kwanini nifanye hiki na kile?
Je ni sahihi?faida hasara?
Mwisho wa siku matokeo ni yako

Sijasema uepuke kampani Bali uwe makini nazo.kampani ovu itakushawishi Kwa maovu

Kati ya kampani inayoongelea kuuza haja kubwa ili kupata pesa Kwa urahisi na kampani inayoongelea Dili za kupata Hela halali bila kutweza utu utaenda kukaa kundi lipi?
 
Peer pressure lakini huyu anaonekana alishabalehe huyo mtoto aliambiwa sio wa kwake? Maana wanawake hawaishiwi kuropoka ovyo mara mtoto huyu kwanza wewe sio baba yake, eeh yamekua hayo?
Mtoto ni wake
Angalia walivyofanana
Screenshot_20260320-185058.png
 
Back
Top Bottom