mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,724
- 131,838
DuhJana kuna taarifa ya mganga amejiua yeye, mkewe na mwanae kwa dawa ya magome walikua wanataka kujitibu Nyongo umesikia hio?
Ova
DuhJana kuna taarifa ya mganga amejiua yeye, mkewe na mwanae kwa dawa ya magome walikua wanataka kujitibu Nyongo umesikia hio?
Tutamshauri, japo washakuwa age-go, ila kwa Mungu hakuna kinachoshindikana.Huyo mwanamke wake Ajaribu kunywa mafuta ya kondoo inasafisha sana kizazi, naona wamasai wengi wanafanya hivo
Dah mwanamke keshafikisha 50?Tutamshauri, japo washakuwa age-go, ila kwa Mungu hakuna kinachoshindikana.
Jamaa ndio kafika 50, mdada kama 45 hivi.Dah mwanamke keshafikisha 50?
Wanawake wengine Kwa umri huo Simba inakuwa hiachezi Kila mweziKwani 50 hashiki mimba 😄
Ova
Dada anywe mafuta ya moto ya kondoo huyo asafishe kizazi.Jamaa ndio kafika 50, mdada kama 45 hivi.
HATA kama sio mwanae kafara isinge kubalika mana aliambiwa atoe mwanae wa kuzaaa meja, kama ingekua simpo tu angeshika HATA mtoto mtaani, ila HUYU sio hasira ni kafara ni kama yule jamaa wa bukoba aliekula NJAMA kumuondoa mwanae albino zeruzeruPeer pressure lakini huyu anaonekana alishabalehe huyo mtoto aliambiwa sio wa kwake? Maana wanawake hawaishiwi kuropoka ovyo mara mtoto huyu kwanza wewe sio baba yake, eeh yamekua hayo?
Ngoja tutamshauri!! Unajua mtu akiwa na uhitaji wa kitu anaweza kujaribu hata visivyofaa!!Dada anywe mafuta ya moto ya kondoo huyo asafishe kizazi.
Baada ya muda nipe mrejesho basi kama kitu kimetik, Namuombea heriNgoja tutamshauri!! Unajua mtu akiwa na uhitaji wa kitu anaweza kujaribu hata visivyofaa!!
Kila sehemu wamevamia matapeliWaganga wa kienyeji wamepotosha na kuharibia wengi sana
Wengine ni watu waliofanikiwa kwa njia za kificho na hawawezi kusema ukweli na kubaki kudanganya
Nitakujulisha mama la mama!!Baada ya muda nipe mrejesho basi kama kitu kimetik, Namuombea heri