Asante sana kwa data, ila mimi siwaamini CCM, watajifanya wanagombana lakini lao moja tu. Dawa ya kukomesha ufisadi Tanzania ni kuwang'oa CCM kwanza, wakae nje, waone wenzao wanavyofanya changes za kweli kweli.
Mkuu Mtanzania,
1. Ninakusikia sana, katika huu mkutano ninaongea na wabunge wote wa pande mbili kwa nyakati tofauti, never before nhimewahi kuwa moved emotional kama safari hii, I mean what is this Mwakyembe's thing? Mkuu si unakumbuka juzi tu nilisema kuwa wa-Tanzania huwa hatujifunzi kabisa, ya Balali hayajaisha here we are about to commit another big mistake,
2. I do not care what, Chenge to me is a thug na wenziwe wote, ni wahuni tena ni vibaka wasiokuwa na class kabisa kama bin-adam wengine wote, mkuu kwenye hili sakata la Richomonduli kina Mwakyembe walishawishiwa kupewa hela nyingi sana, lakini wakagoma kabisaa kwa hiyo na ushahidi upo wazi, kwa hiyo angalia tena hiyo statement yako, kuna wabunge wengi waliopewa millions of shilllngs ili waikatae ripoti ya Mwakyembe pale bungeni ushahidi upo mkuu maana haya yalikuwa aykifanya wazi wazi!
3. Taifa letu linakuwaje na viongozi wapuuzi kama Chenge? Tunakuwaje na viongozi wajinga wajinga kama Lowassa? Jana usiku for about six hours nilikuwa na mkutano wa siri na mmoja wa watuhumiwa wa mkataba Richimonduli, I mean kuna wakati machozi yalikuwa yananitoka jinsi alivyokuwa akinielezea aliyoyaona kwa macho yake mwenyewe na sio kuhadithiwa na mtu au kusoma ripoti yoyote, huyu ni mmoja wa walioona the whole thing, I mean it a shame huyu alenda Europe kukagua hizo machine, alienda Malasyia na Kolimba, lakini walipotaka kwenda Houston kukagua ofisi na machine za Richimond kama sheria za serikali na jamhuri yetu inavyosema, na kutaka Msabaha kwa makusudi mazima ya ufisadi akawakataza kwenda huko huku akiwashambulia kuwa wanapenda sana safari ili wale hela za wananchi huku hakuna cha maana wanachokifanya, akitamba kwamba yeye anaijua sana Richmond ni kampuni safi hawahitaji kwenda huko, sasa najiuliza kwa nini hakuwazuia kwenda ile miji mingine? Na kwa nini aliwazuia kwenda Houston ambako ndio makao makuu ya Richmond? Na ilikuwaje Hosea akawasafisha kundi zima la Richimonduli!
Wakuu tunahitaji kuwa macho sana na taifa letu, na hasa kujua nani yuko na sisi wananchi na nani yuko uapnde wa pili, katika kuongea tu na hawa viongozi binafsi ninaweza kutenganisha nani yupo na sisi na nani hayupo pia, tufike mahali tumuombe Mungu atusaidei tulipite hili janga la taifa letu kuhujumiwa na hawa viongozi wachache ambao mimi ninasema kuwa ni sawa na wanyama, yes I said it this guys are pure animals, unfit licha tu ya kutuongoza bali hata kuruhusiwa kusihi na binadamu wengine,
dawa ni kuwakamata na kuwalazimisha wao na familia zao walipie risasi za kuwatwanga mbele ya public, tena ikiwezekana pale Sanamu Monument, yes piga risasi tu, kwa sababu look what they are doing to us now? tumeacha kuongelea a strong an big agenda za taifa kama EPA na Kiwira, lakini sasa tunaongelea uchawi na ujinga wa a Harvad man Chenge, yaani the Harvads, kina Obama wanakaribia kuwa marais wa kwanza weusi huko USA, hili lijinga ndoo kwanza linaenda ku-promote uchawi nationally!
Halafu kumbuka kuwa akiwa Mwanasheria mkuu ameshiriki kwenye kuwafunga wananchi wangapi wasiokuwa na makosa kisheria, ingekuwa nchi za majuu sasa hivi kungekuwa na kesi kibao na lawsuits against serikali yetu kwa sababu ya Chenge, kwamba hana intelligent judgement au uwezo wa kutosha kufikiri kama binadam kamili, kwa hiyo wote alioshiriki kuwafunga kisheria wanahitaki kuachiwa, na mikataba yote iliyosainiwa china yake akiwa Mwanasheria mkuu itenguliwe mara moja!
Binafsi, sioni siasa ya chama hapa, ninachooona ni taifa kwanza hapa kuna wabunge am,bao wamepania na wako intact, kuna CCM na wa upinzani pia wanashirikiana ingawa kwa siri, kuweka agenda za wananchi kwa manufaa ya taifa, na ninawaombea Mungu awabariki na wafanikiwe!