Kutoka Dodoma!

Kutoka Dodoma!

....wazee JF NI SUPER ....HUTAAMINI UWT.....NYETI NYINGINE AMBAZO WALISTAHILI WAAZE KUZIPATA WAO KWANZA .....WANATANGULIA KUZIONA HAPA.....SI AJABU KILA SIKU JK ANAPAYUKA KWENYE CORRIDOR ZA IKULU....AKISHANGAA KWA NINI NYETI ZINAFIKA HAPA KWANZA!!!!

...JAMANI JF NI KIMBUNGA CHA TSUNAMI...USIPIME !!!!..UKINGANGANIA UTASOMBWA...WE!
 
Habari ambazo tumezipata kutoka kwenye TBC1; ambazo Katibu Mwenezi wa CCM ameonyeswa amezielezea ni kwamba... hilo jambop limejadiliwa kwenye kikao cha NEC. hata hivyo Katibu huyo mwenezi amesema... wanasubiria vyombo vya usalama viseme what happened... maana ndivyo vyenye authority!

Na maelezo ni kwamba huyo Mbunge ambaye sasa anatoka viti vya mbele vile vya mawaziri... na sasa anatakiwa kupatiwa kiti kingine kule back bencha alikuwa akipitishwa na wahudumu wa ofisi za bunge kuonyeshwa kwenye kikao hiki akae kiti gani...

Kwa maana hiyo basi ni jambo la kawaida kutafuta kiti... unalazimika kupitia kwenye safu mbalimbali na kuangalia kiti au sehemu ambayo ni muafaka kwako..


Kwa hili inaonyesha dataz za JF zimefungwa 3-0
 
Habari kutoka katika vyanzo vyetu zilieleza kwamba watuhumiwa hao wameanza mkakati wa kupoteza ushidi kwa kushirikiana na baadhi wachunguzi wa suala hilo.

"Mmoja wa Ofisa ambaye anatoka katika chombo nyeti ameanza kutaka kumsaidia mtuhumiwa yule kwa kutuambia kwamba hakuna kitu kama hicho, sasa sisi tunajiuliza yeye amepewa jukumu la kuchunguza suala hili sasa inakuaje anatangaza kwamba si kweli wakati uchunguzi haujakamilika?,"alihoji mmoja wa Wabunge.

Tanznia tuna kazi sana, ufisadi mpaka kwenye sehemu nyeti, kazi ipo!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Habari ambazo tumezipata kutoka kwenye TBC1; ambazo Katibu Mwenezi wa CCM ameonyeswa amezielezea ni kwamba... hilo jambop limejadiliwa kwenye kikao cha NEC. hata hivyo Katibu huyo mwenezi amesema... wanasubiria vyombo vya usalama viseme what happened... maana ndivyo vyenye authority!

Na maelezo ni kwamba huyo Mbunge ambaye sasa anatoka viti vya mbele vile vya mawaziri... na sasa anatakiwa kupatiwa kiti kingine kule back bencha alikuwa akipitishwa na wahudumu wa ofisi za bunge kuonyeshwa kwenye kikao hiki akae kiti gani...

Kwa maana hiyo basi ni jambo la kawaida kutafuta kiti... unalazimika kupitia kwenye safu mbalimbali na kuangalia kiti au sehemu ambayo ni muafaka kwako..


Kwa hili inaonyesha dataz za JF zimefungwa 3-0

hapo patamu naona wanataka kuuuza soo kimya kimya....sasa Sitta alikiri kupata taarifa za kuwa mbunge huyo KANYUNYIZIA dawa zikoje hizi.Na hao UWT na Polisi wana taarifa zipi? KUNYUNYIZIA TUNGULI AU KUONYESHWA KITI?
 
Habari ambazo tumezipata kutoka kwenye TBC1; ambazo Katibu Mwenezi wa CCM ameonyeswa amezielezea ni kwamba... hilo jambop limejadiliwa kwenye kikao cha NEC. hata hivyo Katibu huyo mwenezi amesema... wanasubiria vyombo vya usalama viseme what happened... maana ndivyo vyenye authority!

Na maelezo ni kwamba huyo Mbunge ambaye sasa anatoka viti vya mbele vile vya mawaziri... na sasa anatakiwa kupatiwa kiti kingine kule back bencha alikuwa akipitishwa na wahudumu wa ofisi za bunge kuonyeshwa kwenye kikao hiki akae kiti gani...

Kwa maana hiyo basi ni jambo la kawaida kutafuta kiti... unalazimika kupitia kwenye safu mbalimbali na kuangalia kiti au sehemu ambayo ni muafaka kwako..


Kwa hili inaonyesha dataz za JF zimefungwa 3-0

Penye ukweli uongo utajitenga!yangu macho!MUNGU yupo
 

...kaka unajua tatizo hapa ni moja...MTANDAO WAMEKOROFISHANA....hili tatizo tuliliona ..maana unapoongelea urais wa kikwete unaongelea KINGMAKERS wake kama ....ROSTAM AZIZ,EDWARD LOWASSA,NAZIR KARAMAGI,BENNARD MEMBE,ZAKIA MEGHJI et al....

hawa watu walifanya mbinu zote safi na nyingi chafu ikiwemo kutumia fedha za BOT,na kampeni za kuchafua wagombea wenzao...

LEO HII MTANDAO HUU HUU UNAMUELEMEA KIKWETE NA SANA SANA AMEBAKIA NA BENNARD MEMBE TU UPANDE WAKE FROM ORIGINAL MEMBERS WA MTANDAWO.......MEMBE OFFCOURSE KABAKI NA KIKWETE KWA SABABU NAYE LENGO LAKE NI KUONEKANA GOOD BOY ILI AWE RAIS 2015.....KIMSINGI MUHESHIMIWA RAIS KAELEMEWA NA KUNDI LAKE MWENYEWE....NA HALI HII HAIASHIRII USALAMA KWETU KAMA TAIFA!!!!

we have one solution in 2010..nayo ni kurudisha ETHICS...na kikwete kama ataendelea asigombee kama mgombea wa mtandao...avue kabisa hilo joho na arudi kwa wanachama...la kama haitawezekana na HII HALI YA RAIS KUKOSA UDHIBITI WA NCHI NA KUKOSA UMOJA CHAMANI ITAENDELEA....ni bora kamati kuu ya CCM ...IAMUE KWA KAULI MOJA KUMPUMZISHA KIKWETE 2010..NA KULETA MGOMBEA MPYA....BILA SHAKA...MIAKA MITANO INAONEKANA NI MINGI MNO KWA KIKWETE!!!!

Kwa kifupi unachosema ni kwamba jamaa hana control na serikali anayoiongoza. Kama hivi ndivyo, ni aibu kubwa, tena Afrika ambapo marais ni kama miungu ya nchi zao!
 
Habari ambazo tumezipata kutoka kwenye TBC1; ambazo Katibu Mwenezi wa CCM ameonyeswa amezielezea ni kwamba... hilo jambop limejadiliwa kwenye kikao cha NEC. hata hivyo Katibu huyo mwenezi amesema... wanasubiria vyombo vya usalama viseme what happened... maana ndivyo vyenye authority!

Na maelezo ni kwamba huyo Mbunge ambaye sasa anatoka viti vya mbele vile vya mawaziri... na sasa anatakiwa kupatiwa kiti kingine kule back bencha alikuwa akipitishwa na wahudumu wa ofisi za bunge kuonyeshwa kwenye kikao hiki akae kiti gani...

Kwa maana hiyo basi ni jambo la kawaida kutafuta kiti... unalazimika kupitia kwenye safu mbalimbali na kuangalia kiti au sehemu ambayo ni muafaka kwako..

Kwa hili inaonyesha dataz za JF zimefungwa 3-0

Nakubali hapa tumeshapigwa bao as usual. Niliwaambia hawa jamaa watakubaliana yaishe kwa maslahi ya chama. Si ajabu ilikuwa ni mipango ya kikundi kizito. Hata hivyo so far hatujui ni kitu gani kimefanyika maana vyombo vya habari bado vina uma na kupuuliza. Hawaandika habari mpaka wapewe go ahead, again aibu!!
 
hapo patamu naona wanataka kuuuza soo kimya kimya....sasa Sitta alikiri kupata taarifa za kuwa mbunge huyo KANYUNYIZIA dawa zikoje hizi.Na hao UWT na Polisi wana taarifa zipi? KUNYUNYIZIA TUNGULI AU KUONYESHWA KITI?

Please... be serious... mzee Six hakuwahi kuhakikisha kitu chochote!!!...ameendelea kusema ameambiwa kuna kitu kama hiki... lakini bado vyombo husika vita-prove...

Please do not pre-empty anything... hakuna ambalo liko wazi hadi sasa!!!

Everything pending evidence and confirmation from Police Force and/or UWT...

Ieleweke wazi kwamba Mzee Six, hawezi kutenda haki... kwa hili kwa kuwa hizo TETESI zimemuhisha yeye kama mlengwa...

Huenda hata sasa anaota ndoto mbaya usiku...
 
Chiligati amekiri sasa hivi kuwa aliyeingia Bungeni ni Chenge ingawa hakumtaja kwa jina. Alichosema ni kuwa mbunge mmoja, ambaye alikuwa waziri lakini ameondoka katika wadhifa huo, aliingia bungeni kwa lengo la kutafuta kiti cha kukaa kwa sababu hivi sasa hawezi tena kukaa kwqenye kiti alichokuwa anakaa wakati alipokuwa waziri.
Ukijumlisha 1+2 haupati 12, ni 3 kwani mbunge ambaye ameachia ngazi ya uwaziri hivi karibuni ni andrea pekee. na ndiye ambaye anaopasw akutafuta kiti cha kukalia hivi sasa.
Lakini Chilly boy amekanusha kabisa kwamba mheshimiwa huyu alimwaga uchwi wakati alipokuwa ndani ya Bunge, ingawa amesema kuwa alipita kwenye viti kadhaa, akichungulia vile vinandiko vya majina ya wabunge, ili kuona kiti kilicho wazi ili kesho aje akae.

MY TAKE: Kwa nini asumbuke kutafuta kiti cha kukaa usiku wakati kazi hiyo ingeweza kufanyika kwa dakika chini ya tano tu kesho yake?
 
1.

2.

Mkuu joka kuu,

Heshima yako bro, unajua zamani nilikuwa ninakuheshimu sana thinking yo are for real, mpaka hapa majuzi nilipokuja kugundua who you are, hapa kwenye forum wengine sisi ni watu wazima ambao tunakuja hapa kwa nia njema na uchungu na taifa letu,

Hayo maswali yako hapo juu, ni nani hasa unayemuuliza hapa JF ambaye amesema kuwa ana tape ya bunge inyomuonyesha Chenge na shughuli yake? Humu kwenye hii topic kuna artcilce ngapi za magazeti yetu bongo ambayo yanasema wazi kuwa yamemuhoji Spika na amethibitisha hayo na yeye Spika ndiye aliyekuwa wa kwanza kusema wazi kuwa kuna Camera moja imenasa yalitokea na kwamba vyote hivi wamepatiwa wana usalama na polisi kwa jili ya uchunguzi ambao tumethibitishiwa na usalama wenyewe na polisi kuwa unaendelea,

sasa wewe unakuja na haya maswali yako ambayo sijui umpelekea nani hasa hapa JF? Mkuu mbona in the real life unaonekana ni mtu mwenye heshima kuiliko mambo unayoyafanya humu forum? Umenga'nga'nia tu kutaka uuuharibu huu mjadala exactly unachotaka nini hasa? Maana huenda una problem hapa tuna watu wa kila aina unaweza kusaidiwa mkuu, kama una maswali ya kutaka tape mpelekee Spika mkuu, hapa tunajaribu kujadili yaliyojiri kwa mapana na marefu na kuna tunaopata elimu kubwa sana bro, please can you understand this once and for all?

Hakuna anyekukataza maswali, lakini yapeleke yanapotakiwa hapa hakuna Spika wala chenge, mkuu mimi sio mtoto mdogo kwamba sijui unayoyafanya hapa ni kwamba unajidanganya sana bro, jaribu kuwa na heshima ili uheshimiwe mkuu!


Wallahi!..I love the diplomacy going on in JF!!
THOSE HARD QUESTIONS..MHHHH!!nani anaulizwa..nani anajibu??
 
Mkuu FM hongera tena, taarifa zilizopenyezwa kwangu hivi punde kutoka ndani ya kikao zinathibitisha yale yote uliyokuwa unatumwagia hapa. Nimeelezwa kuwa hali ilikuwa ngumu ndani ya kikao zilipoibuka pande mbili ambazo muungwana ameshaona zinakigawa chama.
wapo wabunge ambao waliamua kuwatolea uvivu akiwa EL na kundi lake ingawa mzee Monduli naye alisimama kidete kujitetea kuwa alishapendekeza mara mbili mkataba wa Richmond uvunjwe lakini alikataliwa.
lakini walibanwa sana liasi kwamba kimsingi chama kimekubaliana kuwatimua wale waote watakaobainika kuhisika katiak Richmond na EPA. wanasubiri ripoti ya Pinda kuhusu richmond na mwanyika alete yake ya EPSA watu wamwagwe rasmi
 
Nakubali hapa tumeshapigwa bao as usual. Niliwaambia hawa jamaa watakubaliana yaishe kwa maslahi ya chama. Si ajabu ilikuwa ni mipango ya kikundi kizito. Hata hivyo so far hatujui ni kitu gani kimefanyika maana vyombo vya habari bado vina uma na kupuuliza. Hawaandika habari mpaka wapewe go ahead, again aibu!!

Mzee Kitila,

Mimi nakuaminia kama mtu makini sana... mbona inaonyesha kama ulikuwa unajua yanayoendelea upande... mmoja na hivyo hizi habari zingine unaziona si za Kweli?

Kwa data zilizotolewa na the so called ... "Wenye Dataz" na hizi za Katibu Mwenezi wa CCM...

Mimi naona zote zina-logic fulani... tofauti tu ni kwamba za wale wa the Dataz... hawana full access.. kama za Katibu Mwenezi wa CCM...

Hivyo... sidhani kama tumefanyiwa usainii... inawezekana "wenye dataz" ndio walikuwa wanaota... ndoto za mchana...
 
KITENDO KILICHOFANYIKA HAKIKUBALIKI kama watashindwa kugundua ni nani basi kutakuwa hakuna haja ya kuweka walinzi hapo na wanaohusika na suala hilo la ulinzi wote wafikishwe mahakamani.Na hizo Cam kama haziruhusiwi kuzimwa basi aliekuwepo zamu siku hiyo akamatwe shati na kuvutwa ukosi alipata wapi ruhusa za kuzima >?< hii inaelekea sio kasheshe ndogo.
Ila tatizo naliona kilichokwenda kufanyika humo ndani ndio mzizi ambao inabidi upatikane bila kuharibiwa, kama hakuna kemiko na sababu ya watu hao kuingia kwenye ukumbi na kukwanga , hao si viongozi bali ni mafisadi ambayo sasa wanazitafuta feza kwa njia za giza ,waondolewe haraka katika safu ya uongozi na wafukuzwe kwenye Chama chao ni aibu kubwa ambayo kuvumiliwa kwake kutakiathiri chama ambacho kimeshaanza kumeguka kwa kuwemo kwa makundi mbali mbali na sasa hili kundi la washirikina.
 
Chiligati amekiri sasa hivi kuwa aliyeingia Bungeni ni Chenge ingawa hakumtaja kwa jina. Alichosema ni kuwa mbunge mmoja, ambaye alikuwa waziri lakini ameondoka katika wadhifa huo, aliingia bungeni kwa lengo la kutafuta kiti cha kukaa kwa sababu hivi sasa hawezi tena kukaa kwenye kiti alichokuwa anakaa wakati alipokuwa waziri.
Ukijumlisha 1+2 haupati 12, ni 3 kwani mbunge ambaye ameachia ngazi ya uwaziri hivi karibuni ni andrea pekee. na ndiye ambaye anaopasw akutafuta kiti cha kukalia hivi sasa.
Lakini Chilly boy amekanusha kabisa kwamba mheshimiwa huyu alimwaga uchwi wakati alipokuwa ndani ya Bunge, ingawa amesema kuwa alipita kwenye viti kadhaa, akichungulia vile vinandiko vya majina ya wabunge, ili kuona kiti kilicho wazi ili kesho aje akae.

MY TAKE: Kwa nini asumbuke kutafuta kiti cha kukaa usiku wakati kazi hiyo ingeweza kufanyika kwa dakika chini ya tano tu kesho yake?

..uongo huu wa kitoto ndio unaozusha maswali mengi, kuliko kujibu maswali mengi.
 
Advisor wao ni mtu hatari sana ambaye amebobea kwenye issue ya kusolve matatizo kwa elimination, yaani kama X ni tatizo then U eliminate X and the problem is gone.


Siku wakiconclude JK ni problem, I guess U can see where the movie will end.

Mungu Ibariki Tanzania


Kama sikosei unayemzungumzia hapa ni mkuu wa zamani wa idara.......huyu mkuu amejilimbikizia mali na fedha nyingi sana na nina uhakika atajaribu kila awezalo kujaribu kujilinda na hao maharamia wenzake...

Lakini tatizo la hawa jamaa hizi 'coalition za convience' huwa hazidumu...kama inavyosemwa umoja wa wachawi...haudumu....I guess this can now be taken literally!

As for wao kumuona JK ni problem...I think its safe to say that fateful day is almost here...unless he wakes up and take care of them before they 'fix him'!
 
..uongo huu wa kitoto ndio unaozusha maswali mengi, kuliko kujibu maswali mengi.

Tuambie kwa nini ni uongo? ukweli ni upi brother?... mimi hadi page ya 26 sijauona... zaidi ya mahisia kibao...

Habari ambazo zinashabihiana ni muhusika kwenye source zote mbili ni huyo huyo!!!

Ambacho hatukijui ni

Kumwagwa kwa unga
au Kuonyeshwa kiti cha kukaa!!!


Sasa mkuu wewe unayejua ukweli tuambie...
 
Mkuu Halisi,

Nakubaliana na wewe kwamba jambo lililotokea bungeni lazima lichunguzwe ipasavyo. Nilishangaa kusoma kwamba jambo lilitokea Jumanne na bado wabunge wakaruhusiwa Jumatano kurudi kwenye hilo jengo.

Spika alifanya la maana kutoa taarifa polisi, ni wajibu wa polisi kuchunguza kwanza kabla ya kusema ni uchawi au kemikali.

Tukiacha hilo, suala la Dr. Mwakyembe kwa taarifa ambazo mimi ninazo kutoka kwa hao waliomtibu Muhimbili ni kwamba alikuwa na stroke ndogo. Suala la sumu halipo. Kuhusu Amina Chifupa, nafikiri ni upumbavu (ndio natumia neno upumbavu) wa familia yake. Nashindwa kuamini kwamba kanali wa jeshi anshindwa kuelewa umuhimu wa hospitali. Upumbavu wake umesababisha kumpoteza mwanawe.

Watanzania tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele shauri ya imani za kijinga ambazo hazitusaidii. Matokeo yake kila mtu anakimbilia kwenye uchawi badala ya kufanya uchunguzi wa kina na kutoa taarifa juu ya nini kilifanyika.

Huenda Chenge alijua kabisa kwamba camera zilikuwa on na alifanya makusudi kama yale ya Kinjikitile (risasis kugeuka kuwa maji), alitaka wabaya wake wajue yeye zaidi ili watishike wakidhani kamwaga uchawi kumbe ni vijiti alivyookota nje ya bunge. Ukisoma saikoloji ya mwanadamu unaweza kumchezea unavyotaka.

Mimi kule kwetu vijana wakaniambia yule mzee mchawi anasambaza funza, nikawaambia wakamwambie huyo mzee akisababisha mimi nikamatwe na funza nitamlipa 10,000. Kule vijijini hizo ni pesa nyingi. Baadaye wakasema huyu brother ni mzima kajikinga ipasavyo. Ukiangalia watu wanaosema wameletewa funza, nyumba zao chafu, vumbi kibao nk.

Sisi Watanzania wachawi wetu ni sisi wenyewe.

".....Muongo na Mulozi ni watu wa kuchomwa......" by Franco Luambo Makiadi & OK-Jazz
 
Chiligati amekiri sasa hivi kuwa aliyeingia Bungeni ni Chenge ingawa hakumtaja kwa jina. Alichosema ni kuwa mbunge mmoja, ambaye alikuwa waziri lakini ameondoka katika wadhifa huo, aliingia bungeni kwa lengo la kutafuta kiti cha kukaa kwa sababu hivi sasa hawezi tena kukaa kwqenye kiti alichokuwa anakaa wakati alipokuwa waziri.
Ukijumlisha 1+2 haupati 12, ni 3 kwani mbunge ambaye ameachia ngazi ya uwaziri hivi karibuni ni andrea pekee. na ndiye ambaye anaopasw akutafuta kiti cha kukalia hivi sasa.
Lakini Chilly boy amekanusha kabisa kwamba mheshimiwa huyu alimwaga uchwi wakati alipokuwa ndani ya Bunge, ingawa amesema kuwa alipita kwenye viti kadhaa, akichungulia vile vinandiko vya majina ya wabunge, ili kuona kiti kilicho wazi ili kesho aje akae.

MY TAKE: Kwa nini asumbuke kutafuta kiti cha kukaa usiku wakati kazi hiyo ingeweza kufanyika kwa dakika chini ya tano tu kesho yake?

Hivi utaratibu wa kupata viti Bungeni upoje? mimi nikuwa nadhani kwamba wahudumu wa Bunge ndiyo wanaopanga nani akae wapi. Ikiwa Mbunge mwenyewe anatafuta kiti basi si utaratibu mzuri. Hivi Chenge alikuwa hajaingia Bungeni tangu ajiuzuri uwaziri? Ingekuwa na hivyo kungekuwa na haja gani ya kuficha jina na kupeleka kideo kwa RPC na UWT? uummh Chiligati anapiga diplomasia hapo.
 
Habari ambazo tumezipata kutoka kwenye TBC1; ambazo Katibu Mwenezi wa CCM ameonyeswa amezielezea ni kwamba... hilo jambop limejadiliwa kwenye kikao cha NEC. hata hivyo Katibu huyo mwenezi amesema... wanasubiria vyombo vya usalama viseme what happened... maana ndivyo vyenye authority!

Na maelezo ni kwamba huyo Mbunge ambaye sasa anatoka viti vya mbele vile vya mawaziri... na sasa anatakiwa kupatiwa kiti kingine kule back bencha alikuwa akipitishwa na wahudumu wa ofisi za bunge kuonyeshwa kwenye kikao hiki akae kiti gani...

Kwa maana hiyo basi ni jambo la kawaida kutafuta kiti... unalazimika kupitia kwenye safu mbalimbali na kuangalia kiti au sehemu ambayo ni muafaka kwako..


Kwa hili inaonyesha dataz za JF zimefungwa 3-0


Okey sawa, ila sasa kwanini Camera za Usalama ziwe zimezimwa? Na kwenye Kiti cha Spika alifuata nini? Na kwanini iwe muda mbali na shughuli za bunge? Acheni msitutoe kwenye RELI hapa. Wewe unafikiri bila kuletwa JF hapa mapema Serikali wangesema nini kinaendelea?

JF bado tunaongoza 3-0 na mpira umekwisha.
 
Sasa mkuu wewe unayejua ukweli tuambie...

..kwanza,ukweli siujui.kwani ripoti ishatoka?. kuufahamu uongo si lazima uujue ukweli, kwanza.

..pili,mi siwezi kukuambia weye na hao wenzako,si tayari mnajua kila kitu ndo maana mnasema habari hizi ni uzushi.
 
Back
Top Bottom