Kunyoa sehemu za siri.

Kunyoa sehemu za siri.

Haaaaahaaaaaahaaaaa mpalu u made laugh at a high voice ebu niambie sababu kama we huwa unabakiza ili nifanye comparison ili nione kama ni ya kweli majibu niliyopewa.
uliokutana nao wamebezibakiza wanasemaje..............samahani lakini
 
Last edited by a moderator:
sijaona. Nioneshe

avatar41512_9.gif
 
Watu wanapofanya tendo la ndoa, vinena ndo huwa vinasuguana sana. Sasa zile nywele zipo hapo ili kupunguza friction. We jaribu fikiri sehemu zingune ziliko, ishu ni hiyo hiyo tu ya kupunguza friction. Sasa unapozitoa zote, maana yake ni kuwa friction inakuwa kubwa na wakati mwingine wengine huchubuka vinenani. Mnaweza mkawa mnatumia kondomu vizuri, lakini kinena kikakusababishia maambukizi INA THE NAME OF USAFI...

Umeongea point na huo ndo ukweli japo watu wanaponda hii thread
 
Last edited by a moderator:
Mbona tunaoga kila siku pengine mara mbili, hao chawa watapatikana vipi?

hizo nywele zikiwa ndefu zikafunika dindira yako unadhani kuoga mara mbili kutakusaidia? Utaishia kunuka jasho la siri....shaurilo
 
msimshangae huyo anaonesha wazi kuwa nature yake ni uchafu na hiyo ameongelea chini akinyanyua mkono huyo wote mliokaribu mnakimbia na mafua juu,cku akifa muoshaji maiti yake atajionea viroja sana
 
hata baiolojia hukusoma baba, au wewe ndio wale wa kuchora zombie
Mie naamini mwenyezi Mungu hakosei kwa alifanyalo. Binadamu (mwanaume na mwanamke) anapobalehe/kuvunja ungo pana nywele zinaota sehemu yake ya siri lakini utakutana na mdada kanyoa zote, sasa nini faida/hasara ya nywele hizo?​
 
Afu we mtoto... Zion Daughter unamtafuta ugomvi dady???



Sasa unazuga nini ma swiri wife mwaJ, halafu bahati mbaya sikuwa na akiba pembeni!!!hahaha we mkare kwa kuloweka

Tatizo lako Mwita Maranya - baba ZD unapenda kumwaga kuku wengi kwenye mtama...! Halafu baba ZD unajua nini? Nilikuficha weeeeeee kuwa nina kabinti kangu kanaitwa snowhite. Inabidi wewe na mwanetu Zion Daughter mumtambue kuanzia leo. Sitaki kesi wala nini!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lako Mwita Maranya - baba ZD unapenda kumwaga kuku wengi kwenye mtama...! Halafu baba ZD unajua nini? Nilikuficha weeeeeee kuwa nina kabinti kangu kanaitwa snowhite. Inabidi wewe na mwanetu Zion Daughter mumtambue kuanzia leo. Sitaki kesi wala nini!
bhaeleze!nianze kabisa kumuamkia baba mwitamaranya au nisubir umlowekee nguo kkama Paw alivyotendwa leo?
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lako Mwita Maranya - baba ZD unapenda kumwaga kuku wengi kwenye mtama...! Halafu baba ZD unajua nini? Nilikuficha weeeeeee kuwa nina kabinti kangu kanaitwa snowhite. Inabidi wewe na mwanetu Zion Daughter mumtambue kuanzia leo. Sitaki kesi wala nini!
bhaeleze!nianze kabisa kumuamkia baba mwitamaranya au nisubir umlowekee nguo kkama Paw alivyotendwa leo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom