Mie nadhani tunaoga ili kuupoza mwili (hata wanyama huoga) na kutoa uchafu kama vumbi n.k. Tunapiga mswaki (safisha kinywa) kwa sababu ya kuepuka magonjwa yatokanayo na vyakula tulavyo. Je kunyoa nywele hasa sehemu za siri maana yake nini?makubwa jf kunavituko mbona kama mwili uliumbwa safi/hauna uchafu mbona unaonga unapiga mswaki? jaribu kushughulisha akili yako usiwe kama ndugulile aka madiwa wakigamboni
Ati nini??? kwamba una mtoto? Anaitwa snowhite tena mkubwa anayeweza kuwa mke wa mtu!!!
Asalamaleku walahi, mama watoto mwaJ nitahitaji maelezo ya kutosha ili nikuelewe, vinginevyo naendelea kumtambua mwanetu mmoja tu mpendwa Zion Daughter.
Au nimkubali haraka haraka ili nimtafutie mchumba fasta anipe ng'ombe???:nono::nono::nono:
Nilisafiri kwenda kunyoa Hong Kong
Ndo narudi
Kama ulikuwa hujui mimi nina anti-Limbwata, so dont try it at home!!!
Endelea kusubiri, wakina dada wanakuja ......
Hapa ndio tutakuwa marafiki sana.Nipigie debe baba akubali japo ng'ombe 2.Ila mkopo kama anaotaka majany hata mimi nakataa. Wachumba wanakuja yeye anataka ng'ombe 50? snowhite dada yangu nampenda sana na baba ameshakubali kimtindo si unajua anavyopenda ng'ombe na vile dada yangu ni white basi ni balaa.cc Mwita MaranyaMnh! Mie wala sina maneno mengi zaidi ya kuomba mumkubali. Hayo mengine mbona yanazungumzika? But wait a minute! Mbona Zion Daughter haumuozi haraka haraka? Upendeleo huo! Umuoze mwanagu ili tusikae nae!
ZD kwani baba analazimisha kale kanakopingwa na serikali?Hapa ndio tutakuwa marafiki sana.Nipigie debe baba akubali japo ng'ombe 2.Ila mkopo kama anaotaka majany hata mimi nakataa. Wachumba wanakuja yeye anataka ng'ombe 50? snowhite dada yangu nampenda sana na baba ameshakubali kimtindo si unajua anavyopenda ng'ombe na vile dada yangu ni white basi ni balaa.cc Mwita Maranya
umeona enh!Wakati wa tendo la kujamiiana zinaweza kuchana dhakari ya mwanaume. Ni lazima zinyolewe ili kuepusha balaa. Halafu kitu kingine, ni kwa ajili ya usafi.
Hapa ndio tutakuwa marafiki sana.Nipigie debe baba akubali japo ng'ombe 2.Ila mkopo kama anaotaka majany hata mimi nakataa. Wachumba wanakuja yeye anataka ng'ombe 50? snowhite dada yangu nampenda sana na baba ameshakubali kimtindo si unajua anavyopenda ng'ombe na vile dada yangu ni white basi ni balaa.cc Mwita Maranya
Check hiyo link mwenyewe ushuhudie mambo...https://www.jamiiforums.com/habari-...a-wingi-shughuli-inaendelea-kama-kawaida.html lakn siku hizi amebadilika amekuwa mwanaharakati wa kupinga hiyo makitu ..Thanks to mom mwaJ na antie Kongosho walifanya kazi ya ziada kumuelimisha..Mie nipo swafi kabisa sikupitia kale kamila potofu.ZD kwani baba analazimisha kale kanakopingwa na serikali?we ulikubali?MIMI SITAKI !SITAKI! SITAKI!
Unaweza kututhibitishia tafadhali! (red bolded).Check hiyo link mwenyewe ushuhudie mambo...https://www.jamiiforums.com/habari-...a-wingi-shughuli-inaendelea-kama-kawaida.html lakn siku hizi amebadilika amekuwa mwanaharakati wa kupinga hiyo makitu ..Thanks to mom mwaJ na antie Kongosho walifanya kazi ya ziada kumuelimisha..Mie nipo swafi kabisa sikupitia kale kamila potofu.
Kumbe ndio hivooo? lakn mhhh mbona dady yangu Mwita Maranya ni muadilifu sana?? utratraaa..Ngoja tutakaa kikao cha familia kwanza..Hahahaaaaa Zion Daughter,sitaki mkopo bana,juzi nilikua na baba mkwe Mwita Maranya maeneo ya Tabata kisiwani wakati nacheki nyumba ya Mtambuzi,nikamwelewsha kwamba nimerudi kutoka shinyanga na ng'ombe 17 wanakuja next wiki,akasema tutaongea,ila akasema nimwambie Mwa J kuwa nitatoa ng'ombe 2 halafu hao wengine nimpe offline....hapo ndipo napata utata....Nashindwa nifanyeje wakati miye nimeshakudondokea.Ngoja niende kwa aunt yako Kongosho nione atanishauri vipi....niko njia panda sweetheart...:yo: