asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Copy: Nicas Mtei
macho hayanapazia na king'aacho huonekana jamani!!!
Copy: Nicas Mtei
Watu wanapofanya tendo la ndoa, vinena ndo huwa vinasuguana sana. Sasa zile nywele zipo hapo ili kupunguza friction. We jaribu fikiri sehemu zingune ziliko, ishu ni hiyo hiyo tu ya kupunguza friction. Sasa unapozitoa zote, maana yake ni kuwa friction inakuwa kubwa na wakati mwingine wengine huchubuka vinenani. Mnaweza mkawa mnatumia kondomu vizuri, lakini kinena kikakusababishia maambukizi INA THE NAME OF USAFI...Mie naamini mwenyezi Mungu hakosei kwa alifanyalo. Binadamu (mwanaume na mwanamke) anapobalehe/kuvunja ungo pana nywele zinaota sehemu yake ya siri lakini utakutana na mdada kanyoa zote, sasa nini faida/hasara ya nywele hizo?​
macho hayanapazia na king'aacho huonekana jamani!!!
Haijambo na nashukuru ndugu kwa elimu yako kwani wengine matusi yapo usoni tu basi.Watu wanapofanya tendo la ndoa, vinena ndo huwa vinasuguana sana. Sasa zile nywele zipo hapo ili kupunguza friction. We jaribu fikiri sehemu zingune ziliko, ishu ni hiyo hiyo tu ya kupunguza friction. Sasa unapozitoa zote, maana yake ni kuwa friction inakuwa kubwa na wakati mwingine wengine huchubuka vinenani. Mnaweza mkawa mnatumia kondomu vizuri, lakini kinena kikakusababishia maambukizi INA THE NAME OF USAFI...
ndo nini hyo?
uliokutana nao wamebezibakiza wanasemaje..............samahani lakiniAlaaaaaah kumbe wenye vinyweleo ni wadada tuuu!!!!!!mi nilikuwa nafikiri na akina kaka pia!!!!!!!!!!au wakaka huwa mnazibakiza?haya kama ndio hivyo basi na nyie wakaka mtupe majibu kwa nini huwa mnazibakiza.
wewe umepindakabisa chaguo ni lake. Wala asipate taabu, ila akumbuke pia wakati anaenda kufanya na mpenziwake aandae na toothpicks kabisa kwa ajili ya kutolea mananilii yatakayobaki kwenye meno ya mpenzi wake baada ya kumnyonya naniii.
Nimemaliza.
na mtondo ncholeka awae..
Mndu mng'anyi anauliza maswali ya watoto!!!
Mhnn... kujua kwamba hili ni swali la mtoto au la mubwa wewe huwa unatumia vigezo gani?leka awae..
Mndu mng'anyi anauliza maswali ya watoto!!!
umekumbuka kuweka iliki kwenye maji? :A S-heart-2: mafunzo ya unyago yanatumika lolPaw yuko home leo, nimemlowekea nguo. Naenda home sasa hivi, ole wake. Atajuuta kuzaliwa rijali.
mdogo wako. Kongosho ndio mama. this is my last attempt before i summon enough courage to admit i prefer joysticks to the publicKumbe na wewe geologist. Hongera (hivi tulikubaliana wewe ni mdogo wangu ama mwanangu?)