Kunyoa sehemu za siri.

Kunyoa sehemu za siri.

Mie nilinyoa, nilipitisha siku mbili bila kupata shughuli!, kisa mama analalamika atachezea nini, hiyo ibaki maamuzi ya wapenzi kuamua kuacha au kuondoa. Wengine wanapenda na wengine hawapendi!
 
silver25
kuna tetesi eti kariakoo wapo wamasai wananyoa kila mahali
na wakikunyoa miezi sita hakuna kuota kitu japo bei ndo ziko juu,
umewahi kuisikia hii?

Mimi nimefungua Saloon ya kungoa Ikulu lakini ni Wanawake tu ndo wanaruhusiwa Karibu sana
 
Last edited by a moderator:
Mie naamini mwenyezi Mungu hakosei kwa alifanyalo. Binadamu (mwanaume na mwanamke) anapobalehe/kuvunja ungo pana nywele zinaota sehemu yake ya siri lakini utakutana na mdada kanyoa zote, sasa nini faida/hasara ya nywele hizo?​
Weka picha na sosi ili tujue cha kuchangia.
 
Mie naamini mwenyezi Mungu hakosei kwa alifanyalo. Binadamu (mwanaume na mwanamke) anapobalehe/kuvunja ungo pana nywele zinaota sehemu yake ya siri lakini utakutana na mdada kanyoa zote, sasa nini faida/hasara ya nywele hizo?​

whaaaat????

Ina maana wewe hunyoi????

Unataka kufuga rasta?

Au si utatengeneza makazi ya chawa?
 
Mbona unaoga? Na kupiga mswaki? Na kutawaza ukipupuuuh?
Au unadhani Mungu alisahau self-cleansing system?
Mie naamini mwenyezi Mungu hakosei kwa alifanyalo. Binadamu (mwanaume na mwanamke) anapobalehe/kuvunja ungo pana nywele zinaota sehemu yake ya siri lakini utakutana na mdada kanyoa zote, sasa nini faida/hasara ya nywele hizo?​
 
Back
Top Bottom