Kwanini alishababu wasifanye yao siku moja ili kuwafundisha Mazezeta nini maana ya gaidi?Magaidi yana umoja sana
Kwanini alishababu wasifanye yao siku moja ili kuwafundisha Mazezeta nini maana ya gaidi?Magaidi yana umoja sana
Ukiona iboya usiwe unamjibu,endelea na mambo mengineBos mm sio bavicha wala sio ccm sishabikii chama chochote lkn napingana na upuuz wa serkal kwa baaz ya mambo ya kijinga
Ushauri.tuliorganise kwa kuwazidi akili , si unajua polisi wengi wao ni Darasa la saba , mbinu za maana kidogo tu wanaambulia patupu
Karibu utapelekwa Mirembe wewe.Ninawiwa kusaidia.Ninafanya jambo ,Mola anipe kibali nifanye ninachokusudia kwa faida ya kizazi cha sasa na baadaye.Allah unijaaliye.
Ukute hata mtoto umetelekezaHapo inawezakuwa wenye waume ni kama 10% - 15% mambo ya kifamilia tu yanawashinda sasa wanaka juani kupiga kelele.
Pumbavu kabisa.
Wanawake Tanzania wataleta ukombozi kqa mara ya pili TanzaniaBaraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
View attachment 1871842
Vipi mtaendelea kumporomoshea matusi ya nguoni kama kawaida yenu au mmeshajifunza adabu???Raisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan tunakuomba umuachie Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe bado tunamuhitaji sana.
Na inawezekana wao ndio wameoa. Sasa shida unabaki nayo wewe.Hapo inawezakuwa wenye waume ni kama 10% - 15% mambo ya kifamilia tu yanawashinda sasa wanaka juani kupiga kelele.
Pumbavu kabisa.
Ananifokea mm mtanzania wachinidr gwaji anamfokea nani, sijaelewa.
Museven hapo Uganda wapinzani wake wamelia hadi ikulu ya Marekani sembuse hapo ubalozini?Ushauri.
Mtindo wa aina hiyo ndio uwe mwendelezo wa mapapmbano.
CCM na hao polisi wao wanawahimiza sana muingie barabarani, kwa sababu huko ndiko wanakojuwa watawadhibiti kwa kuwapiga mabomu na hata kuua kadhaa ili kuendeleza vitisho kwa jamii nzima iendelee kuwa na uoga juu yao.
Msiwape tena fursa ya aina hiyo. Haya mapambano yawe ni ya kutumia akili zaidi kuliko maguvu ya kukabili masilaha yao ya kuwatoa uhai.
Kuwekwa mahabusu na kufunguliwa makesi mbalimbali hiyo iwe ni sehemu ya mapambano, ni lazima hivyo mvikubali kama malipo ya ukombozi wa taifa letu.
Raia watakapoona moyo huo wa kujitoa mhanga, na wao wataanza kuwa na ujasiri wa kudai haki zao bila ya uoga, hata huo wa mabomu na mabunduki.
N mm mtanzania niliyetoa mawazo, akanilipukiadr gwaji anamfokea nani, sijaelewa.
Unyonge wa MwafrikaBaraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
View attachment 1871842
Kutinga ndio kufanyaje!! Machadema bana, akili zenu sawa na za ng'ombe tu, yaani kakikundi ka wahuni na makaratasi yao wamejisteji mbele ya camera wanaigiza kulia ndio kutinga!! Usikute waume zao wakiwatuma wabishiiii!! lakini kwa ujinga wanapiga show ya kipuuzi namna hiyo!! Unadhani wazungu wajinga?Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
View attachment 1871842
Ulijuaje? Au ulihusika katika kifo chake? Jitokeze hadharani utangaze hivyo...Kama upo Dar nenda pale Kariakoo karopoke hivyo...Kuteguka mguu imekuwa issue mbona husemi aliyekufa kwa kudharau korona.
Mungu wabariki wazungu
Huwezi kuwa huru kwa kila kitu Kama bado unaishi kwa wazazi. Ukiweza kujitegemea kwa kila kitu hapo Ni kweli upo huru. Sijui Kama umenielewa kweliWamekwenda kutusemea kwa marafiki zetu....
Kila Mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa(ikiwemo malalamiko)....
BAWACHA nao wana haki hiyo.....
Ila kubwa tu TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY....na isiyoishi katika kisiwa cha dunia yake.....
#NchiKwanza
#JMTMilele
#SiempreTanzania
Utakuwa na D.N.A za kibe10Na inawezekana wao ndio wameoa. Sasa shida unabaki nayo wewe.
Mbona hakuna siri !Ulijuaje? Au ulihusika katika kifo chake? Jitokeze hadharani utangaze hivyo...Kama upo Dar nenda pale Kariakoo karopoke hivyo...
wakike au wakiume nimekuzalishaUkute hata mtoto umetelekeza