Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,788
- 218,415
Mwamba wa siasa za Tanzania, Freeman Mbowe, ambaye pia anatajwa kama Mwanasiasa anayeongoza kwa Umaarufu Barani Afrika kwa sasa, amekutana na Balozi wa Marekani
Wawili hao wamefanya mazungumzo ya siri yaliyoitwa Muhimu, hasa kwa Mustakhabhali wa Nchi ya Tanzania na Raia wake
Wawili hao wamefanya mazungumzo ya siri yaliyoitwa Muhimu, hasa kwa Mustakhabhali wa Nchi ya Tanzania na Raia wake