Kumbe mimi na wewe hatupo?

Sasa hivi nina-sex na mke wangu, inamaana si kweli hatufanyi kitu kwamba hiki tunachokifanya ni AI?
 
Daah😂 nimeipenda hii analogy, because maybe kama unavyo Sema kusudi la sisi kuwepo ni dunia tu, ila again ukiangalia na dunia yenyewe ipo within solar system(milky-way galaxy) so ni endless chain.
 
Sasa hivi nina-sex na mke wangu, inamaana si kweli hatufanyi kitu kwamba hiki tunachokifanya ni AI?
Hapana mkuu, hii ni nadharia tuu ambayo inatufanya tufikiri. Unacho kifanya hapo ni tendo ambao Lina engage viungo na hisia simultaneously lakini ile dhana ya uwepo wa self inayofanya hicho kitu haipo
 
Ancient people hawakuweza vitu vingi ambavyo kwa sasa viko common na vinafanyika kirahisi mno.
I'd like to argue! Hao ndo walikua more in tune hata kuliko sisi. Hivi unajua sisi tumekuwa more genetically tinkered na mauchafu yeetu wenyewe
 
Nadharia Yako sio ngeni duniani .Wanasayansi na wannafalsafa wengi wameshindwa kuelewa asili na mechanism ya UFAHAMU
 
Where do you get you knowledge from? ?

Umeshaanza na uongo so everything else itakuwa uongo:

Umesema mwanga unahitaji medium ili uonekane! Where did you learn this?

Light can travel in a vacuum. It does not need matter to travel. You not seeing light in a vacuum doesn't mean it's not there! It means your eyes are limited.

.Ndomana na Biblia imemuita anayesema Mungu hayupo kuwa Mpumbavu.

How much else do you think you have got wrong?

There are levels to reality.

You can search about other dimensions and see where that gets you.

View: https://youtube.com/shorts/VwofJ3wkzn8?si=dVm7Ax7a2ev5cFhi
JESUS IS THE TRUTH.

(not debating)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…