Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Status
Not open for further replies.
"Msifanye chochote kwa moyo wa fitina au kwa majivuno ya bure; muwe na unyenyekevu nyinyi kwa nyinyi, na kila mmoja amwone mwenzake kua bora kuliko yeye mwenyewe. Pasiwe na mtu anayetafuta faida yake mwenyewe tu bali faida ya mwenzake." Wafilipi 2:3-4.
 
Aisee, inavyoonekana ni mimi tu nimebakia bila kuwa na namba ya sumu ya Nahuja, ni Prime Minister namba yako Nahuja.
 
Nahuja, Mimi nnachokiona hapa
1. Rafiki yako analia kilio cha huruma, either katika urafiki wenu alishakuhitaji kimapenzi ukamkataa nae hataki kukubaliana na hali anajaribu kutumia hii mbwinu

2. Hajawahi kukutamkia anaumia ndani kwa ndani, anaona atumie hii mbinu ya huruma ili kukupata.

3. Ana upweke
Umepita mlemle, mademu wengi wanaliwa kwa mtindo huu
 
Aisee, inavyoonekana ni mimi tu nimebakia bila kuwa na namba ya sumu ya Nahuja, ni Prime Minister namba yako Nahuja.
Yangu nakupa hadharani ni hii hapa 0764 947 612😀😀😀😀
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom