- Thread starter
- #301
Utoto wa JF.
Sawa.Wanazingua kweli mi sidhani kama watoto wanafanya walioyafanya Hawa wadau kweli Age is just a number
Utoto wa JF.
Sawa.Wanazingua kweli mi sidhani kama watoto wanafanya walioyafanya Hawa wadau kweli Age is just a number
Afu wanapeana zamu ya kupost. Leo Nahuja hayupo sterling yuko mwenyewe anaongoza jahazishehe nina wasi wasi huyu kijana mtiifu amekula mali za watu au alikuwa anamendea mali za wapemba, wamemu alert tu
Hapo kwenye bold ... uko sawa kabisa!Wanazingua kweli mi sidhani kama watoto wanafanya walioyafanya Hawa wadau kweli Age is just a number
Sio kwamba wote tupo?Afu wanapeana zamu ya kupost. Leo Nahuja hayupo sterling yuko mwenyewe anaongoza jahazi
Pole yake nani huyo?mmmh aiseee pole yake
Hukutaka apone eti eh! Ajali ni sekunde chache sana mkuu; na maumivu nilokuwa nayo mimi ndo najua. Nashukuru nilihudumiwa nikapata nafuu ndo maana naonekana online.Pole sana. Hakuna anayekutukana. Huyo jamaa yako ndo kakufanya uonekane msanii. Yani jana tu awe hoi afu leo paaap yuko bize hapa kubishana na wadau
Kumbe ulipata ajali mbaya? Yet ukawa unaweza kumtext Nahuja. Vipi kuhusu madaktari kukukataza kupokea simu kwa siku kadhaa lakini baadae ukapokea ya Mshana Jr ?Hukutaka apone eti eh! Ajali ni sekunde chache sana mkuu; na maumivu nilokuwa nayo mimi ndo najua. Nashukuru nilihudumiwa nikapata nafuu ndo maana naonekana online.
MMMH😎😎😎😎 Acha tu mtani wangu. Sina lakusema
WEWE HAPO..ULIPATA MATATIZO MKUUPole yake nani huyo?
Ina bidi tu nivumilie mitusi ninayoshushiwa na watu kwenye hii thread sina namnaMMMH
VUMILIA TU AS LONG AS HAYAKUUI NA UNAPUMUA VYEMAIna bidi tu nivumilie mitusi ninayoshushiwa na watu kwenye hii thread sina namna