Mi simu yangu haina paswed mtu akiiokota akiingia JF atajua id yangu na ataona pm yangu ya kumuomba ukuwi anikopeshe elfu 30.
Worse ni kwamba hata kwa contacts nimemsave ukuwi hivyo anaweza akaamua kudeal naye huyu huyu.
Tufanye tucheki last time ya kulog in ni saa ngapi na sms zimeanza kuja saa ngapi.
Worse ni kwamba hata kwa contacts nimemsave ukuwi hivyo anaweza akaamua kudeal naye huyu huyu.
Tufanye tucheki last time ya kulog in ni saa ngapi na sms zimeanza kuja saa ngapi.