TANSIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2018
- 725
- 1,034
atakuwa an nafuu sasahuyo safari ya kwa baba basi tena itakuwa alikuwa ana stress fulaniNamuona yumo humu (on line) kwenye huu uzi.
atakuwa an nafuu sasahuyo safari ya kwa baba basi tena itakuwa alikuwa ana stress fulaniNamuona yumo humu (on line) kwenye huu uzi.
Twende wote mpendwa. Anahitaji maombiAsante kwa taarifa mkuu. Itakuwa aligonga kichwa bila shaka.
Haruhusu kutembelewa? Natamani nikamjulie hali.
Umwa mkuu nije kukutembelea tuu usijali.Watu wana bahati,mi sijuia na mimi niumwe tu
Upo wapi nikupitie? Beba bibilia zote azima na za majirani.Twende wote mpendwa. Anahitaji maombi




pepo la mauti litatoka tuuMkuu pole bhana kwa yaliokukumba.Badala ya kuuliza ilikuwaje?
Ajali ilikuwa ni ya nini?
Ilitokea lini?
Nimekaa masaa mangapi pasipo uongea na simu?
Maswali ya hivyo ndo nilipaswa kuulizwa .... ambayo aloleta mrejesho ndo maswali aliniuliza wakati tunaongea na simu.
Hayo yalinipata Jumamosi jioni ... hivyo Jumamosi usiku Jumapili, Jumatatu hali yangu ilikuwa mbaya. Jumanne ndo nilikuwa na uwezo wa kutuma sms nikiwa nyumbani. Leo naona hali inaendelea vizuri alafu nakutana na post za kejeli, matusi n.k! Kumbe .... ok! wewe unayeongoza kwa matusi wakati unajiita babu nakushangaa sana!
Hahaha mkuu umwnikumbusha movie ya NAIROBI LIFE jamaa moja alisema "usinibebe fala vile unataka kunibebaHalafu unakuta anakubeba ufala.
Usimjibu...wala hakuna lolote linalompata, trust me!
Upo wapi nikupitie? Beba bibilia zote azima na za majirani.pepo la mauti litatoka tuu
watu wanasemaga ukimwi ni kama malaria lkn ukiupata ukimwi ndo utaelewa tofauti hapo. sa we ngoja genye likupande kichwani ndo utaelewa.
Mkuu NYEGE ni UGONJWA kwani? ??
Inabidi kwanza twende mlimani (mahali pa faragha) tuombe kwanza kabla ya kwenda huko kwake...pepo lisijetuuliza sisi ni nani!??




maana mapepo mengine yana kiburi sana.

.Karibu! Ahsante sana!Mkuu pole bhana kwa yaliokukumba.
Nafurahi kuona umepata nafuu.
Tangu Jana naomba location ya kuja kukutembelea na kukujulia hali. Kama hutojali naomba nipe location.
Mambo ya polisi naweza jikuta YAKATOKA KWA MJAMBAJI YAKAJA KWANGU MTEMA MATE

We jamaa inaelekea ulikuwa unaumwa kweli na bado haujapona vizuriJitahidi uipandishe basi kama imekuuma sana! we vipi? au jeki ndo tatizo nini?