Mimi sio mtoto.Watoto hawa
Mimi sio mtoto.
AhsanteUlileta huu ujinga wa nin?
Ungemripoti police
Ndio maana nilisema hivi sms zake sizielewi!
Mgonjwa huwa haripotiwi police huwa anapatiwa matibabu.Ulileta huu ujinga wa nin?
Ungemripoti police
hatokufa, ni genye tu limempanda kichwani.
















































Jaman hebu tuweni serious..... Huwenda ni kwel anaumwa
Tunamshukuru kwa kutuaga awasalimie huko anakoendaNi yeye maana nimepiga namba zake zote ujumbe wake ni huo huo kuwa nimuagie wanaJF. hajaomba hela zaidi ku insisit kuwaaga wanaJF kuwa anakufa. halafu anatuma mameseji mengine hata hayasomeki
hahaa ilikuwa tatashikaAhsante sana mkuu! wengine wakachangamkia fursa ya kuomba namba za mtoa taarifaa! Futeni namba hiyo! nipo bado jamani.
Mgonjwa huwa haripotiwi police huwa anapatiwa matibabu.
😁😁😁😁😁😁Daah unakosea sana achia nafasi na uweze pembua pumba na mchele kwani kusikiliza sh.ngapi huwezi jua ya Mungu mengi,au nafasi imejaa![]()
Ndio leo kasema kuwa ni mpenzi wangu??!!!😳😳 Makubwa hayo!! Ndio maana nimewaomba JamiiForums wafute huu uziza leo unazielewa? kuwa ni mpenzi wako?!!
PtuuuuuJamiiForums, Moderator Paw Maxence Melo Invisible
Naomba huu uzi ufutwe au ufungwe kabisa. Ni ombi tu.
Mbona imekuuma sana! au mna chama cha kuchangiana misiba na ukizingatia hali ilivyo ngumu ulikuwa umeisha waza wapi pa kupata hiyo michango???Kwahiyo huku ndo matibabu yalipo?
Wanazingua kweli mi sidhani kama watoto wanafanya walioyafanya Hawa wadau kweli Age is just a numberUtoto wa JF.