Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,804
- 830,979
Ana voda ngoja nikupe PMAna no nyingine? Ya tigo haipatikani
OK sawa .Ana voda ngoja nikupe PM
Angalia PM yako kaka mshana nimekupatia namba zake zingineAna no nyingine? Ya tigo haipatikani
Hahahahahahah mkuu you make my dayInawezekana anakukubali sana ila huwa anasita kukueleza, hebu mtumie meseji kwamba baadae unaenda kumpa papuchi, halafu uone kama hajaghairi kwenda kwa baba!
AsanteAngalia PM yako kaka mshana nimekupatia namba zake zingine
Basi katika huo unywaji ana lake la moyoni possible anaogopa kukutongoza ataharibu ubest hivo anaomba mzigo kwa hurumaEvelyn Salt huyu ni rafiki yangu katika kunywa pombe tu. hajawahi hata siku moja kunieleza mambo ya mapenzi. Lakini ukweli mimi na yeye wote ni watu wazima sio watoto (kama wa JF) hahahahaha
😎😎😎Basi katika huo unywaji ana lake la moyoni possible anaogopa kukutongoza ataharibu ubest hivo anaomba mzigo kwa huruma
Na wewe ni nini tena baba yake Swalehe?Mmh
....
Kwaherin jaman ...
Naumwa ...Na wewe ni nini tena baba yake Swalehe?
Mmh
....
Kwaherin jaman ...
Ngoja nimuite Evelyn Salt labda yeye atakuelewa!!Naumwa ...
Nipo away from university now
Sasa mbona anasumbua RAIA?TAARIFA RASMI
nimefanikiwa kuongea na mhusika anaumwa alipata ajali ndogo ila anaendelea vema...poleni sana kwa usumbufu wote...
Hapana ndio maana nikaweka hii taarifaSasa mbona anasumbua RAIA?
Ahahaa kumbe bado hajaondoka?TAARIFA RASMI
nimefanikiwa kuongea na mhusika anaumwa alipata ajali ndogo ila anaendelea vema...poleni sana kwa usumbufu wote...
Kumbe shosti unakula vyombo.huku live bila kunishtua?Na wewe ni nini tena baba yake Swalehe?