Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Status
Not open for further replies.
Mkuu yani unajua hadi ananitisha. Nimemuuliza swali, kuwa anavuta bangi? akanijibu kwa kifupi kuwa hata South Africa inaruhusiwa. yaani hadi muda ninavyotaipu hii comment bado sms zinaendelea kuingia za kuwaaga wanaJF!!
mwambie awasalimie aendako.....
 
mmh! ngoja tu ninyamaze sasa, sms anazotuma muda huu. Anaandika jina langu tu. haandiki kitu kingine.
Mentor nakaribia kukubali uliyosema. Ila sasa sijibu nimeamua tu kukaa kimya
Shauri zako....

Karipoti polisi. Akidedi utaisaidia sana polisi ukiwa lupango.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom