Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Status
Not open for further replies.
Kama huyo mtu ana uwezo wa kutuma Message anashindwa nini kufungua uzi maalum wa kuwaaga wana jf, ama kukoment basi kwenye uzi mwngine aage!
Kama ni mtu mnakaaga mahali mnapata vitu mbalimbali obvious utakuw unajuana na rafiki zake wengine, Jaribu kucheki nao kama kuna ambae mshkaji amewasiliana nae au anataarifa zake, au uwaombe wamchek ili ujue moja!
Huenda pia ni utani wake kwako coz hatujui mipaka yako na yeye
Kama yeye amefanya utani, basi atakuwa mpuuzi wa kutoka nje ya nchi😡😡😡
 
Duuhhh mambo km hizi ziwe zinatukumbusha 'Muda'.


Pole mkuu uko uliko.... Ila nadhan anataka kujua km kuna mtu anamkonsida kua wa muhimu !!
 
Kama yeye amefanya utani, basi atakuwa mpuuzi wa kutoka nje ya nchi😡😡😡
Inawezekana kweli ikawa ni mzaha tu, ila atakuwa anafeli sana kwa kiwango cha flyover... Japo pia hatuna uhakika, ndo maana nkakushaur ujarib kuchek na rafki yake wa mtaa unaemjua!
 
Ndio tunajuana lakini hatufahamiani
Nahuja, Mimi nnachokiona hapa
1. Rafiki yako analia kilio cha huruma, either katika urafiki wenu alishakuhitaji kimapenzi ukamkataa nae hataki kukubaliana na hali anajaribu kutumia hii mbwinu

2. Hajawahi kukutamkia anaumia ndani kwa ndani, anaona atumie hii mbinu ya huruma ili kukupata.

3. Ana upweke
 
Nahuja, Mimi nnachokiona hapa
1. Rafiki yako analia kilio cha huruma, either katika urafiki wenu alishakuhitaji kimapenzi ukamkataa nae hataki kukubaliana na hali anajaribu kutumia hii mbwinu

2. Hajawahi kukutamkia anaumia ndani kwa ndani, anaona atumie hii mbinu ya huruma ili kukupata.

3. Ana upweke
Evelyn Salt huyu ni rafiki yangu katika kunywa pombe tu. hajawahi hata siku moja kunieleza mambo ya mapenzi. Lakini ukweli mimi na yeye wote ni watu wazima sio watoto (kama wa JF) hahahahaha
 
NAHUJA mbona hujibu maswali ya msingi wanayouliza wadau, jamaa ashawahi kuomba mzigo b4 ukamkatalia?
 
NAHUJA mbona hujibu maswali ya msingi wanayouliza wadau, jamaa ashawahi kuomba mzigo b4 ukamkatalia?
Hapana hajawahi. ila kuna sehemu nimejibu kwa mfano kama hapa hivi:
Evelyn Salt huyu ni rafiki yangu katika kunywa pombe tu. hajawahi hata siku moja kunieleza mambo ya mapenzi. Lakini ukweli mimi na yeye wote ni watu wazima sio watoto (kama wa JF) hahahahaha
 
Wanajf habarini za asubuhi.

Leo asubuhi nilipokea sms kutoka kwa mwanaJF mwenzetu Tutor B. katika ujumbe wake aliandika kuwa anaumwa sana.

Baada ya kusoma ujumbe huo nilimpigia akakata simu, akaandika tena sms akisema nisimpigie ila nitume sms kwa kuwa anaumwa sana kichwa na kwamba amezuiliwa kuongea na simu kwa muda wa siku 90.

Lakini sasa kitu ambacho sijamuelewa ni hizi sms zake ambazo ambazo alinitumia kwa mfululizo, Hapa nitazinukuu.

1.Wajulishe wanaJF, unisaidie kuwaaga
2.Waage kabisa, taarifa zingine mtapata kwa redio na TV
3. Waambie tuonane ulimwengu wa roho
Nikamuuliza swali, ina maana hutaingia tena JF? akanijibu:
4. Nitaingiaje wakati naenda kwa baba? Nasikitika kuondoka...
5. Najisikia kuhama ulimwenguni kuna sehemu nyingine nzuri zaidi
6. Vipi mbona unaguna? Pole kwa kunipoteza.

Na bado hadi muda huu anaendelea kunitumia sms za kuwaaga wana JF


Nimeona tu niweke huu uzi hapa maana, simuelewi huyu member kwa haya anayonitumia kwenye sms.
Mmh nimejaribu kupiga haipatikanj
 
Mkuu yani unajua hadi ananitisha. Nimemuuliza swali, kuwa anavuta bangi? akanijibu kwa kifupi kuwa hata South Africa inaruhusiwa. yaani hadi muda ninavyotaipu hii comment bado sms zinaendelea kuingia za kuwaaga wanaJF!!
Ana no nyingine? Ya tigo haipatikani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom