Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Status
Not open for further replies.
anaumwa alafu anawasha data Ana log in JF na kuanza kuchati.. mwambieni aache masihara ataenda kwa baba kweli
 
Dada kashasema wanajuana na huwa wanapiga ulabu pamoja so they are friends, kweli aache kumwomba mzigo wakiwa tilalila ache ammendee kishamba hivi, isitoshe dada huwa anaenda hadi kwake maana anapajua na isitosha washakulana tayari so kuanza kumwambia hivyo anakuchora tu.

Ukute jamaa anaumwa kweli NAHUJA kamwone mshikaji wako bana maana hata kama kweli anafanya drama akukule hiyo ni wewe na yeye mtu asianza kukuonea huruma bwana huku kitu yako na una maamuzi nauo
Scenario yangu inapata nguvu

View attachment 891519


Jamaa last seen ni saa 10:34 leo.

NAHUJA kama scenario yangu ni ya hovyo huyu mtu anakuwasilishia hisia fulani kazi ni kwako kung'amua.
 
Atakuwa kafanikiwa kufungua jicho la tatu akakutana na maisha mengine mazuri kuliko haya ya duniani

Nasema yawezekana maana hata maguru wakati wanafundisha haya makitu hutoa tahadhari kwamba kuna uwezekano wa kukutana na maisha mengine tofauti na ya duniani yakakupendeza hivyo kuhamia mwenyewe huko kwa hiyari
Screenshot_2018-10-09-18-48-18.jpeg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom