A
Anonymous
Guest
Habari!.
Fikisha kwa jamii.
Halmashauri ya wilaya ya Muleba imeamua kututapeli pesa zetu za kujikimu,tukiuliza tunapewa majibu ya kutoridhisha. Kwa Mujibu wa maelekezo ya Tamisemi ya Muongozo wa ulipaji wa ajira mpya mwaka 2024 ilibidi uwe hivi:-
Degree 170k *7
Diploma 150k*7
Certificate 100k*7.
Lakini wao kwa dhurma zao, wameamua kutumia Muongozo wa zaman wa 2022 ambao ni 150,130,80k.
Hivyo basi, ajira mpya wa Muleba kwa unyenyekevu mkubwa tunaomba mamlaka husika na Waziri mwenye dhamana @Mh Mchengerwa, Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mbunge wa Muleba walishughulikie hili. Waheshimiwa, Mkoa wa Kagera halmashauri zote zinanuka ufisadi.
Ahsante
Fikisha kwa jamii.
Halmashauri ya wilaya ya Muleba imeamua kututapeli pesa zetu za kujikimu,tukiuliza tunapewa majibu ya kutoridhisha. Kwa Mujibu wa maelekezo ya Tamisemi ya Muongozo wa ulipaji wa ajira mpya mwaka 2024 ilibidi uwe hivi:-
Degree 170k *7
Diploma 150k*7
Certificate 100k*7.
Lakini wao kwa dhurma zao, wameamua kutumia Muongozo wa zaman wa 2022 ambao ni 150,130,80k.
Hivyo basi, ajira mpya wa Muleba kwa unyenyekevu mkubwa tunaomba mamlaka husika na Waziri mwenye dhamana @Mh Mchengerwa, Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mbunge wa Muleba walishughulikie hili. Waheshimiwa, Mkoa wa Kagera halmashauri zote zinanuka ufisadi.
Ahsante