Na sasa hivi hizo VPN, APN na SISCO , ICCP na makachero wenzie. Hawafanyi kazi na kuna baadhi ya app ukiweka hata vile vimishale vya kupanda na kushuka. VinapoteaHa ha ha ha ha ha kumbe TCRA wanatechnolojia ya kuzima twiter...
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Usalama wa nchi ni suala la muhimu kuliko kitu chochote kile.... Watanzania tujifunze kutii mamlaka...tusijifanye wajuwaji mpaka kutaka kulala chumba cha wazazi eti kisa na sie watoto tumeshaota nywele zote kama wazazi wetu...Sasa ni dhahiri tumeingia kwenye Utawala wa kimabavu. Ukiongozwa na Magufuli na Ghost Voters wake
Kura kwa jembe magufuli, usipoteze kura yako kwa loser lisu
Bila kumuondoa Magufuli mambo ya YouTube na Twitter yatabaki kuwa ni historia tu.Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Huo ujinga baki nao mwenyeweUsalama wa nchi ni suala la muhimu kuliko kitu chochote kile.... Watanzania tujifunze kutii mamlaka...tusijifanye wajuwaji mpaka kutaka kulala chumba cha wazazi eti kisa na sie watoto tumeshaota nywele zote kama wazazi wetu...
Sawa heshima ni kitu cha bure..Huo ujinga baki nao mwenyewe
Wala hata sio rocket science, it takes 5minutes for a firewall admin to do it.Ha ha ha ha ha ha kumbe TCRA wanatechnolojia ya kuzima twiter...
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Nina amini kwamba wahusika wamefanya hivyo ili kuzuia vurugu zinazo weza kuji tokeza kwasababu ya uchaguzi vile vile nahisi kwamba kungekuwa na njia za mbadala kutatua tatizo hilo. Serikali ya Dkt John Joseph Pombe Magufuli imepata tuhuma ya kuwa gandamizi na kuminya sana haki za kuji eleza. Serikali lazima ina nia njema kwa kila mtu lakini ni muhimu kwa wao kufahamu kwamba hili ni zoezi la ki demokrasia. Huu ndio muda pekee ambao wananchi wanapata nafasi ku onana na wana siasa. Kama inge tokea kwamba baadhi ya watu wana tumia mitandao ya jamii vibaya, serikali ingeweza kuwa zuia wao tu baada ya kupata vibali mahakamani. Watu wanaoweza kuleta maafa makubwa kwenye mitandao ya jamii ni wenye wafuasi wengi. Njia nyingine ni kuwa makini na vyombo vya habari. Sidhani kama hatua iliyo chukuliwa na serikali ni sahihi.Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Nina amini kwamba wahusika wamefanya hivyo ili kuzuia vurugu zinazo weza kuji tokeza kwasababu ya uchaguzi vile vile nahisi kwamba kungekuwa na njia za mbadala kutatua tatizo hilo. Serikali ya Dkt John Joseph Pombe Magufuli imepata tuhuma ya kuwa gandamizi na kuminya sana haki za kuji eleza. Serikali lazima ina nia njema kwa kila mtu lakini ni muhimu kwa wao kufahamu kwamba hili ni zoezi la ki demokrasia. Huu ndio muda pekee ambao wananchi wanapata nafasi ku onana na wana siasa. Kama inge tokea kwamba baadhi ya watu wana tumia mitandao ya jamii vibaya, serikali ingeweza kuwa zuia wao tu baada ya kupata kibali mahakamani. Njia nyingine ni kuwa makini na vyombo vya habari. Sidhani kama hatua iliyo chukuliwa na serikali ni sahihi.
Hawajaminya uhuru wa kujieleza wala wa kupiga kura hapo bali wameminya mtandao kuepusha uvunjifu wa amaniNina amini kwamba wahusika wamefanya hivyo ili kuzuia vurugu zinazo weza kuji tokeza kwasababu ya uchaguzi vile vile nahisi kwamba kungekuwa na njia za mbadala kutatua tatizo hilo. Serikali ya Dkt John Joseph Pombe Magufuli imepata tuhuma ya kuwa gandamizi na kuminya sana haki za kuji eleza. Serikali lazima ina nia njema kwa kila mtu lakini ni muhimu kwa wao kufahamu kwamba hili ni zoezi la ki demokrasia. Huu ndio muda pekee ambao wananchi wanapata nafasi ku onana na wana siasa. Kama inge tokea kwamba baadhi ya watu wana tumia mitandao ya jamii vibaya, serikali ingeweza kuwa zuia wao tu baada ya kupata kibali mahakamani. Njia nyingine ni kuwa makini na vyombo vya habari. Sidhani kama hatua iliyo chukuliwa na serikali ni sahihi.
Wèngine hatuitumii mitandào hiyoTarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Siwezi kuinyima kura CCM sababu ya mitandao
Kura zote kwa Magufuli, ushindi kama kumsukuma mlevi, Lissu ni loser
tena katika jambo la maana waliofanya ni kuzima mitandao ya kijamii maama kesho kila mtu angekua mtangaza matokeo.
hayo matusi yenu kawatukaneni baba zenu huko
Woote tuna jambo letu leo..Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.