Kwan unadhani wao wanategemea kura halali?, ndo maana unaona wanakiburi cha kufanya lolote bila khofu.Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store)...
Yaani leo hata wale waliokuwa wameziba masikio kuhusu uovu wa magufuli leo wameipata.Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store)..
Hilo nalo neno. Wameshaona kura kwao hawachomoki. Wana mbinu mbadala.Kwan unadhani wao wanategemea kura halali?, ndo maana unaona wanakiburi cha kufanya lolote bila khofu.
Kule kwingine ulifurahi? Endelea na mitano tena.hapo kwenye App store ndo nimekwazika kulicho chochote jaman hivi kweli mtu unaenda kufungiaa app store
Hapo ulipo unatumia vpn. Kweli wewe poyoyo.@inchaji UFIPA kwa kujipa matumaini hamjambo.
Shukuru vpn hata huo ujinga usingeleta hapa.tena katika jambo la maana waliofanya ni kuzima mitandao ya kijamii maama kesho kila mtu angekua mtangaza matokeo.
hayo matusi yenu kawatukaneni baba zenu huko
Hapo ulipo unatumia vpn. Kweli wewe poyoyo.
Shukuru vpn hata huo ujinga usinge comment hapa.Siwezi kuinyima kura CCM sababu ya mitandao
Shukuru vpn hata huo ujinga usingeleta hapa.
Woga wa kuangukia pua na kuficha maovu walaiyopanga kufanya. Hata hivyo tuko mbele mile 1000. Wamechelewa.Haaa...kafungia hadi Play store na App store?
Washamba kweli hawa....
Mla makande asubuhi asubuhi. Mna maana basi mnakikakamua hapa wakati hata pesa ya supu hamna. Mwenzenu sengerema kafa kwa makande mmeshamzika?Kwenda we fala . Hakuna cha VPN wala mavi. CCM’s time . Mitano tena oyeee
Shukuru vpn hata huo ujinga usinge comment hapa.
Ndio maana Goooner tunafungwa kumbe wewe ni Lumumba FCMwisho wako wa majungu umefika wacha kulialia kama kasuku. Mlikolalia ndio tumeamkia, si mlijipanga kupotosha na kujifanya mkwara wenu upo juu sasa muda umefika mbichi zinajulikana.
Woga wa kuangukia pua na kuficha maovu walaiyopanga kufanya. Hata hivyo tuko mbele mile 1000. Wamechelewa.
Suala ni Mipango yenu ya kibwege ya vurugu. Mmefeli mashoga tumebaki mababa yao. Wacha tuwakeree
Mkuu kuna timu ambayo haifungwi? Kila ndege huruka kwa mbawa zake. Niko Alaska hapa wewe uko wapi?Ndio maana Goooner tunafungwa kumbe wewe ni Lumumba FC
Bastard pervert.Wasted sperms