Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,515
Ndo shida ya afrika why mtu mmoja muoga tu awapande watu kichwani Hadi kuwanyima haki zao za msingi
Play store nayo imezimwa kwa sababu inatoa mwanya wa kudownload universal VPN /APN ambayo ukiinstall kwenye simu yako inakuwezesha kufungua mitandao iliyofungwa/iliyozimwa katika ngazi ya Nchi.
Poa tu. Afadhali kura yangu ipotelee kwa Lissu kuliko kumpa dikiteta Pombe.Piga kura kwa Magufuli, usipoteze kura yako kwa loser Lisu
URL unfurl="true"]https://m.apkpure.com/ufo-vpn-basic-free-vpn-proxy-master-secure-wifi/ufovpn.free.unblock.proxy.vpn[/URL]
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Sasa kama walijitapa wameua upinzani na wametekeleza mambo mengi wanaogopa ninitena katika jambo la maana waliofanya ni kuzima mitandao ya kijamii maama kesho kila mtu angekua mtangaza matokeo.
hayo matusi yenu kawatukaneni baba zenu huko
Kisa kuzimwa mitandao 😂😂, wangekua wameyafungia makanisa na misikiti basi tungesema huu ni udikitetaSasa ni dhahiri tumeingia kwenye Utawala wa kimabavu. Ukiongozwa na Magufuli na Ghost Voters wake
Leo twendeni tukamjibu kwenye sanduku la kuraTarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Kuna way around those things. First ni VPN other way ni ku download app kwa kupitia website ya playstoreHaaa...kafungia hadi Play store na App store?
Washamba kweli hawa....
Ccm inakulisha wewe,Kodi yet ndio inafanya kazi sio ccmSiwezi kuinyima kura CCM sababu ya mitandao
Hilo nalo siyo issue, unadownload VPN direct from website bila kupitia Play store. There are so many workarounds.Play store nayo imezimwa kwa sababu inatoa mwanya wa kudownload universal VPN /APN ambayo ukiinstall kwenye simu yako inakuwezesha kufungua mitandao iliyofungwa/iliyozimwa katika ngazi ya Nchi.
Hiyo kitu ipo siku nyingi sana. Ni awamu hii ndio wameanza kutumia. Na sii twitter tu. Na mitandao mingine piaHa ha ha ha ha ha kumbe TCRA wanatechnolojia ya kuzima twiter...
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app