hahaha.. tuko wengi..Wamefungia mpaka google map. Nimeenda kulipiza kwenye kura yangu
umeshapiga kura?Hata Mimi nashangaa mbona apps za google YouTube na Instagram hazifanyi kazi kabisa nikadhani ni Mimi tu kumbe imezimwa. Hapo nimeelewa.
sasa hapa hakuna ss hakuna chdm wote yametukuta.Lissu alishasema wakimalizana na upinzani wataanza wao kwa wao ! Naona mataga tangu jana wanalia lia tu dawa imeshaanza kuingia
PovuUelewa wako hauna uelewa! Kuwepo au kutokuwepo mitandao hukunizuii kuishi kwa amani na kufanya Mambo yangu! Kwa umuhimu wa amani yetu isije vurugwa na wenye akili za kushikiwa...maana wakiambiwa ingia barabarani bila hata kutafakari, wanajitupia tu! Hawa na Kama na ww ni mmoja wao wanahitaji kufungwa nira ili kuwaongoa! Hii ni njia rahisi ktk kuwaongoa! Twendeni tukampigie kura Magu na makada wa CCM kura ili kutuletea maendeleo! Wale wapingaji na watoka nje ya binge na wafunga midomo tuwapumzishe wasije suffocate bure kea kukomaa hewa!
Ni kweli. Watu wengi akili za kushikiwa ndo maana hapa hawapo wanalalamika tuUelewa wako hauna uelewa! Kuwepo au kutokuwepo mitandao hukunizuii kuishi kwa amani na kufanya Mambo yangu! Kwa umuhimu wa amani yetu isije vurugwa na wenye akili za kushikiwa...maana wakiambiwa ingia barabarani bila hata kutafakari, wanajitupia tu! Hawa na Kama na ww ni mmoja wao wanahitaji kufungwa nira ili kuwaongoa! Hii ni njia rahisi ktk kuwaongoa! Twendeni tukampigie kura Magu na makada wa CCM kura ili kutuletea maendeleo! Wale wapingaji na watoka nje ya binge na wafunga midomo tuwapumzishe wasije suffocate bure kea kukomaa hewa!
Hawawezi kuniua, viherehere ndio wanakufaUnanyimwa uhuru mpaka wa mawasiliano bado umeng'ang'ana nao? mpaka wakuue wewe kama wewe?
Mkuu wanakulipa shs ngapi? Sikujui Ila kwa jinsi nilivyokuwa nikikusoma humu majukwaani hufanani kabisa na nilivyokuwa nakufikiria. Punguza njaa jamaa yangu.Yale majigambo yenu kumbe ni debe tupu?
Huwa silipwi, ujue akili ni mali, tatizo lako wadhungu huwajui wewe na huyo kasuku wenu Tundu Lisu hana lolote alijualo yeye ni kulialia tu ili aonewe huruma. Tanzania inahitaji maendeleo ya haraka kufika kule kwenye maziwa na asali wakati wewe na vikuwadi vyenu mliona vinaelea tu na hamkujua/kutambua kwamba vimeundwa. Kuleni jeuri yenu chacha. Tulikuwa tunawadekea tu kwa mbaliiiii .... ..... na mipango yenu kama kina Abunuwasi. Mtafute msome kama bado yupo ... .... ie ''Abunuwasi na taa ya ajabu''Mkuu wanakulipa shs ngapi? Sikujui Ila kwa jinsi nilivyokuwa nikikusoma humu majukwaani hufanani kabisa na nilivyokuwa nakufikiria. Punguza njaa jamaa yangu.
Ulitaka mawasiliano kuwasiliana na nani? Tangu ukimbie Tanzania hujawahi kuwakumbuka, itakuwa leo tu ndio nyege zimekupanda?
Ulitaka mawasiliano kuwasiliana na nani? Tangu ukimbie Tanzania hujawahi kuwakumbuka, itakuwa leo tu ndio nyege zimekupanda?