Uchaguzi 2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

Suala ni Mipango yenu ya kibwege ya vurugu. Mmefeli mashoga tumebaki mababa yao. Wacha tuwakeree
Mnamkera nani tuko.mile 1000 mbele na matokeo tutayatangaza hapa hapa. Mtakoma mwaka huu. Mtatapatapa mpka mkome. Tumewanyosha hasa chini ya Lissu.
 
Hasira nyingi anashindwa hata ku"quote" threads
JPM mitano tean
Pambaf kabisa !!!
QUOTE="GODZILLA, post: 37143863, member: 266148"]
Hili genge linaloongozwa na joni linadhani Tanzania ni milki binafsi.

Hili genge lipumzishwe lisituharibie nchi na future ya watoto wetu.
[/QUOTE]

Utakuwa unawashwa ...
QUOTE="mr chopa, post: 37143974, member: 383440"]
Kura zote kwa magufuli, ushindi kama kumsukuma mlevi, lisu ni loser
[/QUOTE]
 
Walichofanya ccm ni kama mtu kujichoma kisu mwenyewe 😆😆😆
Mabarobaro wataichoma hii nchi huku wakizindikizwa na wamama na mabinti.

Hadi waliokuwa hawafatilii uchaguzi wamekatwa kibao wazinduke!

Kuna kundi kubwa sana la watu mtandaoni ambao kwao mtandao ni kama oxygen ila walikuwa hawana time na uchaguzi! Vipi wakijua chuki kwa upinzani ndio umesababisha haya?
 
Hivi tunavyoongea biashara zinapoteza pesa na kuna watu watashindwa kupata pesa ya kwenda kupiga kura kesho kutokana na kukosekana huduma za benki kwa mtandao. Tukapige kura kwa Tundu Lissu mitano kwanza.
 
Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.

Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store)...

Wewe humu unwahimiza wapiga Kura wangapi. Nenda FB. Nenda Insta Nenda vijijini. Ndo utajua tofauti ya choroko na njegere. Sijui hata nguvu ya kujifariji mnaipata wapi. JPM 5? Wala hata sio mjadala.
 
Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.

Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store)...
Amani na usalama wa nchi ni muhimu zaidi kuliko hiyo mitandao,kikinuka hapatakuwa tena na hizo ngonjera zenu za kipuuzi,hata China hufanya hivyo kwa ajili ya usalama na amani ya nchi yao.
 
Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.

Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).

Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?

Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.

Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.

Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Tujitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura ,uboreshaji wa daftari la kupiga kura ilikuwa ni kwa wale waliohama vituo vya kura,kama haujahama kituo basi jina lako litakuwa kwenye kituo ulichojiandikisha 2015 ,Nenda kapige kura kwenye kituo ulichopiga 2015 kama haujaboresha taarifa zako mwaka huu.

Sambaza huu ujumbe kwa wengine maana wale ambao hawajaboresha wanajua hawawezi kupiga kura!!
 
Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.

Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).

Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?

Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.

Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.

Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Humu ulimo post wewe ni mtandao wa nini? Ni wa familia yako.....?
 
Back
Top Bottom