Kisbo ni hatari. Jana nilienda Dodoma na basi za kwanza kukutana nazo zilikuwa Kisbo ya mwanza na nyuma yake Kisbo ya Kahama. Nilikuja kukutana na basi zingine baada ya kilometa 10 which means distance between the buses ilishakua zaidi ya km 20 na hapo Kisbo ilikuwa imemaliza eneo la spidi 50 na zile zingine bado hazijaingia ambapo ina maana itabidi zipoze wakati mwenzao anakandamiza.