Asante sanaHaya na ukifika paradiso usisahau kutupia tena uzi kuwa umefika
Hiyo basi hadi wapiga debe na Makonda wa stendi za msamvu na ubungo huwa wanaibetia kuwa itatangulia kufika kabla ya mabasi mengine na mara nyingi huwa wanapiga hela
Na wewe unashabikia mwendo kasi likitokea la kutokea utasikia MagufuliOk mkuu
tunakaribia hapo, waambie walioweka mzigo kwa kisbo wakae mkao wa kula hela. zote mbili ndo zitaongozana
Nadhani mnamaanisha KISBO iliyosanda ligi ya Dar-Mbeya na kukimbilia Tabora!Hiyo basi hadi wapiga debe na Makonda wa stendi za msamvu na ubungo huwa wanaibetia kuwa itatangulia kufika kabla ya mabasi mengine na mara nyingi huwa wanapiga hela
SawaNa wewe unashabikia mwendo kasi likitokea la kutokea utasikia Magufuli
Nadhani mnamaanisha KISBO iliyosanda ligi ya Dar-Mbeya na kukimbilia Tabora!
Kwani dar-mbeya kinara ni Nani sasa hivi???
Hii nchi "haitafila" popote kwa aina ya taifa tunalojenga
Golden deer ni hatari
mi naona new force ya tunduma ndo iko vizuri maana huwa napanda zile Costa za usku (Hakuna kulala) kila ukitoka mbeya gari ya kwanza kupishana ni new force ya tundumaGolden deer ni hatari
Hiyo lugha ya kusanda ni kisukuma ? Ndio nini? Maana waswahili wa usiku mani wana vilugha vya hivyo hatari. Mfano kuniga ni kukabaNadhani mnamaanisha KISBO iliyosanda ligi ya Dar-Mbeya na kukimbilia Tabora!