Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

mkuu moro ni kabla ya saa 3, saiz inasoma kibaigwa unadhani moro itakuwa saa ngap?
Nilitoka Dom saa 12:15 asubuhi na kibinyiko nilifika moro saa nne kamili, dar niliingia saa nane na dakika kama 12...... Kwa muda uhuu mnaweza tumia masaa matatu kufika moro na masaa mawili kufika dar.... Kimbinyiko na lenyewe linapasua si mchezo sijui wanakuwa washawapa police pesa
 
Nilitoka Dom saa 12:15 asubuhi na kibinyiko nilifika moro saa nne kamili, dar niliingia saa nane na dakika kama 12...... Kwa muda uhuu mnaweza tumia masaa matatu kufika moro na masaa mawili kufika dar.... Kimbinyiko na lenyewe linapasua si mchezo sijui wanakuwa washawapa police pesa
Kimbinyiko inayokimbia ni ile inayotoka dar saa 8 mchana ile ni konyo
 
Mkuu mpaka sasa kuna gari zipi za mwanza Dar zilizo wapita?zile asubuhi zilizo wapita kabla ya shinyanga msha zipita hadi muda huuu?

baada ya singida hakuna aliyekatisha, wale waliotupita shy tulibambana singida walikuwa wanaenda arusha. nadhan huko mbele yetu kuna kidia one, katagi sijajua anaenda wapi make naye alipopita hajaonekana tena.
 
baada ya singida hakuna aliyekatisha, wale waliotupita shy tulibambana singida walikuwa wanaenda arusha. nadhan huko mbele yetu kuna kidia one, katagi sijajua anaenda wapi make naye alipopita hajaonekana tena.

Vp hali ya tochi kuanzia safari hadi muda huu mmepigwa ngapi ?
 
Dah kweli zama zimebadilika..nakumbuka Ally's ilikua inaingia morogoro stand saa 11 jioni...na wakati huo kipande cha Manyoni bado vumbi..

dodoma ilikuwa saa 9. nilishawahi toka dar to mwanza na zuberi, saa mbili niko mwanza tena buzuruga nikaangalia na taarifa ya habari
 
record ipi kiongoz? huu uzi ni wa aina gan kwan mkuu?!

Kwanza ukianza kuuliza gari gani ya kupanda ambayo huta lala njiani,gari uli shauriwa na wadau wengi ndio uliyo panda .saa 12 alfajiri ukawajuza wadau mwenendo wa safari yako kuwa na hadi sasa uko nasi began kwa bega kuhusu mwenendo wa safari yako.vp mkuu jirani yako uliye kaa naye seat mmoja ana kusaidia kuiona safari fupi kwa kukupa ushirikiano wa story .
 
Kwahyo ukaona uje na uzi humu. unachekesha but keep calm kisbo ni gar hatar sana kwa afya yako, subiri mda si mrefu Utatamani wakushushe lakin haitawezekana yani wanakimbia hadi kero na huyo aliyetangulia muhesabia mda tu hutamuona mbele yenu tena
Mwambie huyoo aanze kutubu dhambi zake mapema
 
khaa! kuna gari inaitwa katagi nayo imetupita hapa hatujafika hata missungwi
Hiyo picha uliyoweka kwenye avatar si ni ile movie ya aphocalypto??? Km sijakosea jina nimekisew spelling kidogo niliipenda mnooo
 
Route ya dar arusha ndio imekua ya kibwege hakuna gari linalokimbia tena...

Daima tutazikumbuka

Buffalo
Ngorika macedonia
Chakito longway
Meridian express
Hakika mkuu hakuna kama
Ngorika, bufalo, meridian,

Hiz ulikua ukipanda yan saa 6 kamili mchana
Uko mosh njiaanda kutoka dar
 
Kumbe uliambiwa tu ulikuwa hujui wewe endelea kusubiri utajuwa nini maana ya kisbo kwa leo tu ili siku zijazo utoe maamuzi ukiwa na habari kamili
 
Back
Top Bottom