Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

We tunaendana umri.Miaka ya 1992 mpaka 95 wamasai wa Ruvu walikuwa wanaulizana "Kiswele napita?" Haya toa ng'ombe.

Maana Kiswele iliwahi gonga ng'ombe 10 halafu ikatambaa.

Those days bus zilikuwa na bull bars.Na kulikuwa hakuna camera.

Basi zilikuwa zinakimbia balaa.
Scania za Engine nyuma Kiswele na Makete
Kule Mbeya alikuwepo Zainabs
 
dah..! nahisi kuna watu wame bet muda wa kisbo kufika dar(ubungo), maana wananchi wanaufuatilia huu uzi kwa umakini wa ajabu
 
sikuiona mkuu.
Mkuu leo tumeifanya safari yako kuwa fupi sana, tangu ulipoanza safari asbh tuko na wewe tu, binafsi safari ya mwz Dar kwa basi huwa inaniwazisha sana, manake sio kwa kuchoka kule....hope umeinjoy kusafiri na kisbo safari, mwenye basi anatakiwa akupe ticket ya bure kurudi mwanza manake umeitangaza gari yake sana tu.......
 
Mkuu leo tumeifanya safari yako kuwa fupi sana, tangu ulipoanza safari asbh tuko na wewe tu, binafsi safari ya mwz Dar kwa basi huwa inaniwazisha sana, manake sio kwa kuchoka kule....hope umeinjoy kusafiri na kisbo safari, mwenye basi anatakiwa akupe ticket ya bure kurudi mwanza manake umeitangaza gari yake sana tu.......

kweli aisee, safari imekuwa fupi na ya kupendeza zaidi. huyu mwenye kisbo anifikirie kwa kweli teh!
 
mi naona new force ya tunduma ndo iko vizuri maana huwa napanda zile Costa za usku (Hakuna kulala) kila ukitoka mbeya gari ya kwanza kupishana ni new force ya tunduma
New force na golden deer ni kampuni moja. Zote mmiliki wake ni Jason(mchina) na mara nyingi madereva wanabadilishiwa magari. Madereva wakali ni Jaja na Linyama... Wote wa tunduma.
 
dah..! nahisi kuna watu wame bet muda wa kisbo kufika dar(ubungo), maana wananchi wanaufuatilia huu uzi kwa umakini wa ajabu

inabidi mhindi aongeze kipengele cha mabasi, mbona meridianbet waliweka uchaguzi wa US na hillary clinton akachana mikeka ya watu kinoma huku teamTrump wakibeba mzigo.
 
kweli aisee, safari imekuwa fupi na ya kupendeza zaidi. huyu mwenye kisbo anifikirie kwa kweli teh!
Hahahahaaa safi sana mkuu.. Mmiliki wa kisbo/kibo/skyline ni Husein Nkya.
 
dah..! nahisi kuna watu wame bet muda wa kisbo kufika dar(ubungo), maana wananchi wanaufuatilia huu uzi kwa umakini wa ajabu


inabidi mhindi aongeze kipengele cha mabasi, mbona meridianbet waliweka uchaguzi wa US na hillary clinton akachana mikeka ya watu kinoma huku teamTrump wakibeba mzigo.
 
New force na golden deer ni kampuni moja. Zote mmiliki wake ni Jason(mchina) na mara nyingi madereva wanabadilishiwa magari. Madereva wakali ni Jaja na Linyama... Wote wa tunduma.
hapo sawa mkuu
 
Mfikishie hizi taarifa....tunaomba ticket ya kurudi mwanza ya huyu ndugu
Bila shaka... Fika ubungo no 40 utajipatia tikiti yako kwa bei nafuu. Bila kusahau popcorn na maji uwapo njiani. Karibu The Kirikiri nation
 
Back
Top Bottom