Zanika
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,316
- 752
Scania za Engine nyuma Kiswele na MaketeWe tunaendana umri.Miaka ya 1992 mpaka 95 wamasai wa Ruvu walikuwa wanaulizana "Kiswele napita?" Haya toa ng'ombe.
Maana Kiswele iliwahi gonga ng'ombe 10 halafu ikatambaa.
Those days bus zilikuwa na bull bars.Na kulikuwa hakuna camera.
Basi zilikuwa zinakimbia balaa.
Kule Mbeya alikuwepo Zainabs