patrick80
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 737
- 608
Katagi inaenda zake mbeya.Ila jua mnyama kisbo atakuwa mbele tu. Alafu utatupa mrejesho. Kwa mbeya katagi ndokhaa! kuna gari inaitwa katagi nayo imetupita hapa hatujafika hata missungwi
waoKatagi inaenda zake mbeya.Ila jua mnyama kisbo atakuwa mbele tu. Alafu utatupa mrejesho. Kwa mbeya katagi ndokhaa! kuna gari inaitwa katagi nayo imetupita hapa hatujafika hata missungwi
waoPremier ni viazi mkuu ungepanda katagiWatu mko machooooo,,, Mm nimetoka na premier hapa nyegezi naelekea mbeya Duuuhh linapitwa tuuuuuuuu na vibas vya ajabu najutaaaaa
Kwa hyo wenye mabasi wayaapaki auNauli kutoka Mwanza hadi dar Kwa basi ni elfu 60, Chakula njiani 20, tax kufika standi 10, ( masaa 14hrs road) ukishuka ubungo either ulale gest 30000 au uchukue tax elf 30, kama kuna ndugu Wa kukupokea (hasara na usumbufu Wa kukufuata stand tumpe naye elf 30) haya uchofu Wa safari utakupasa upumzike ambapo hasara ya kulala siku nzima inayofuata elf 30 n.k let's say imekucost laki mbili kupanda bus,
Ungefanya mipango ya FASTJET 150000 /= AU Ungefanya mpango Wa precision Air 360000/= Ungefika chap na Kwa haraka ukaendeleza majukumu yako ya kuingiza Pesa nyingine ;
Mi ninafikiri siku nyingine panda ndege kupunguza gharama ( Note; gharama zingine hazionekani direct)
SAFARI ZA BUS MASAFA MALEFU IFIKE MAHALI TUACHANE NAZO zimepitwa na wakati ( Tutumie bus safar fupi fupi)
==========================
NI SAWA NA KUNUNUA KIWANJA KWENYE KILIMA AU BONDENI 2MIL HALAFU MSINGI WA NYUMBA IKAKUCOST 15MIL pamoja risk za Maji na bomoabomoa! Wakati kuna viwanja flat saafi vinauzwa 8mil na mzingi only 3mil na ni sehemu salama
Wapi hiyo mwanawane....nafuatilia mpambano wa kunyoosha goti kwa ukaribu.apocalypto
Ni wabaya ila sio sanaKwenye game sio wabaya sana pia.
.Je wabaya sana ni wa wapi?Mkuu taaafadhali bhanaMna shabikia mwendo kasi baadae tutawaona kwanye Tv saa mbili usiku
We tunaendana umri.Miaka ya 1992 mpaka 95 wamasai wa Ruvu walikuwa wanaulizana "Kiswele napita?" Haya toa ng'ombe.Umenikumbusha ligi ya Tawaqal na Kiswele enzi hizo Dar to Songea, huku kuna giriki kule yuko Yogi palikuwa hapatoshi!
Kama mkipata ajali msilalamikie mwendo kasi ilhali mnaupenda kwa kiwango hiki. Pokeeni maumivu na mateso yake kwa namna hii hii mpendayo mwendokasi.Jamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike Dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la Kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa Master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo manake uongo umeanza kudhihirika.
Ok mkuuniko full bando. but network ya hapa na pale
Bwana ni new force zote na sub branch golden deer ya tunduma...Ligi tamu Ni Dar-Mbeya,Hai express newforce ya tunduma
Yaaa, inahuzunishaaapocalypto