ajali zikitokea lawama zote anapewa suka,anyway speed thrills but kills.Safari njema mkuu karibu Tanzania ila kuna joto kali sanasiku zingine panda Lushanga xpress, hyo tunaita ndege yahaseJamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo make uongo umeanza kudhihirika.
Safari njema mkuundo linaondoka singida hapa
Jamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo make uongo umeanza kudhihirika.
Tehteh teh teh.....Hahaha mkuu naona unatamani sana uonekane kwenye habari zilizotufikia hivi punde
vyote kwa pamoja
Lushanga bugati hahahahhahahahahahhahahahahhasiku zingine panda Lushanga xpress, hyo tunaita ndege yahase