Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo ni habari Nyingine, subiria mfike singida hapo ndo utaelewa vyema ikipita basi hamtaona limewapita tena ndo itakua imeisha ivo
 
Kumbe watu mnapenda mwendokasi!!!ajali zikitokea lawama zote anapewa suka,anyway speed thrills but kills.Safari njema mkuu karibu Tanzania ila kuna joto kali sana
 
Jamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.

Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo make uongo umeanza kudhihirika.
siku zingine panda Lushanga xpress, hyo tunaita ndege yahase
 
Mkuu unaweza kuwa umeingia cha kike labda ayo magari yapo mengi.Kipindi hiko dar to mbeya napanda happy nation saa11 jioni npo mbeya sasa HOOD kila safari linatupita siku niliyopanda nilijuta saa 5usk naingia mbeya
 
Route ya dar arusha ndio imekua ya kibwege hakuna gari linalokimbia tena...

Daima tutazikumbuka

Buffalo
Ngorika macedonia
Chakito longway
Meridian express
 
Jamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.

Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo make uongo umeanza kudhihirika.

Kwani ww uliomba ushauri wa gari linalo toboa Mwanza to Dar au gari ambalo halipitwi na gari lolote?
 
Back
Top Bottom