Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Nakumbuka nasoma tosamaganga lyalamo p/s.tukipata nafasi kuja iringa mjini,njia panda ya tosa tunakaa kwanza tunashangaa mabasi.Basi kila mmoja anajipa jina la basi mojawapo.mara mimi tawaqal,sijui mimi kiswele mara upete,mwanahapa,scandnavia,matema beach.hiyo iringa anasumbua comfort.longtime sana.
Mwanahapa ilikuwa habari nyingine.
 
Back
Top Bottom