Hasa kale ka Mr Silim kale ka Ally Kamwe.Halafu wanashindwa pia kuelewa filimbi ilipolia Saido akaenda kupiga ndipo wachezaji wengine waliondoka naye na Saido hakupiga moja kwa moja ,alitisha kidogo ndo akapiga.
Mnakumbuka ya leo wakati mlipuuzia kilio cha Wananchi walichokitoa kwa msimu mzima wa mwaka jana kuhusu dulma walizokuwa wakitendewa na marefa na washika hatamu wa mpira nchini!!!
Leo tukio dogo tu ka kawaida lakini watu wameshupaliaaa na kutoa kamasi kana kwamba hawakuona jinsi kosa lilivyotendeka!
Refa hakufanya kosa lolote kutoa uamuzi ule...na watoa povu wanapata kisingizio kwa kuwa waliona picha za replay, fursa ambayo refa hakuipata, na hata kama VAR ingetumika asingetoa uamuzi tofauti!
Washabiki wa Yanga wasiposema ukweli nitaona Kweli Tanzania kuna shida kwenye vichwa vya watu. Inatia kichefuchefu kwa wapenzi wa mpira unaenda kuangalia match ambayo ni rigged. Hii ni match fixation tff wachunguze na Takukuru wanuse kuna harufu ya rushwa