Insurgent
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 469
- 19
Insurgent ninapenda theory zako,, unasema Mallya alimhamisha Wangwe, wakati mzee anasema yeye ndiye aliyemfungua Wangwe akiwa amefunga mkanda, sasa hapa nani anasema ukweli kati ya wewe na huyu mzee?
Halafu mkuu unafikiri hii ajali imesababishwa na nini mvua, jua kali, upepo, au ni kawaida tu? Halafu hebu rudia tena la mtaalamu, kwa sababu familia ilimleta justi in time kabla ya mazishi, maana tumeona kesi maiti imekwenda kufukuliwa sasa hapa wala haijazikwa tatizo lilikuwa ni nini mkuu?
nitarudi baadaye mkuu with more! lakini so far I like this! yaani utetezi wako kwa serikali na Mallya.
Mimi sio mtetezi wa serikali wala Mallya naangalia kote.
- Kama mzee alimfungua mkanda akiwa kiti cha abiria then Mallya alikuwa anaendesha.
- Kama mzee alimfungua mkanda akiwa kiti cha dereva then inawezekana Mallya alimwamishia pale baada ya ajali kwani alikuwa mgonjwa na asingeweza kuendesha.
Kama ni ya kwanza, alilaza kiti hivyo kuuzuia mkanda kufanya kazi yake ipasavyo.
Mkuu FMES mimi kutoa hii theory hakumaanishi naitetea serikali hii ni theory bado hatujui ukweli.