Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,873
Amefariki muda si mrefu kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam eneo la Pandambili (kama sijakosea).

PICHA:

1.JPG

Marehemu Chacha Wangwe...
2.JPG

Mzee Mwiguni George aliyefika katika eneo na kumsaidia Chacha na wenzake!
3.JPG

Deus Francis Mallya aliyetoa maelezo yenye utata na sasa watu wanamgeuzia kuwa kuna jambo analificha! (Huyu pia aliwahi kujitambulisha kuwa yeye ndiye (mimi) Invisible wa JF.
2.JPG


5.JPG

Gari lililohitimisha maisha ya Chacha likiwa limeharibika vibaya

Zaidi nitawafahamisha
 
Last edited by a moderator:
Mmmmhhhhhh!!!! Pole sana kwa familia, ndugu na marafiki wa Wangwe. Inasikitisha na kutisha, hizi ajali zitatumaliza.
 
Inna Lillah Wainna Ilaih Raajiun(We belong to the Almighty God and to Him all we shall return)
May The Almighty God rest him in peace
Amin
 
Pole sana wanachadema kwa kuondokewa na mpambanaji...
How pity
Mungu awafariji na kuwapa subira wafiwa
 
Amefariki muda si mrefu kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam eneo la Pandambili (kama sijakosea).

Zaidi nitawafahamisha

RIP Wangwe...Natumia FURSA HII PIA KUFUTA USEMI WA KULIMWA RISASI KWA WANGWE.

Bwana ametoa...Na Bwana ametwaa.

Pia naomba radhi kwa Mgagagigikoko...Na wale waliokuwa na mawazo ya tofauti kama ilivyojionyesha kwenye issue ya Marehemu Bhoke...Tutoe nafasi hii kwa wanachadema na wanafamilia bila kusahahu Taifa kwa ujumla kwenye majonzi haya.

Kweli wanadamu si kitu na ni budi tufanye majukumu yetu mara moja kwani maisha haya ni mafupi na tuko duniani kwa malengo...Tuhakikishe tunayatambuwa malengo ambayo Mungu ametuleta hapa Duniani kuyatimiliza.

Ili tusije kuondoka kabla ya kuyatimiliza.

La kujiuliza hapa...Je Wangwe aliyafanya yale aliyoletwa kuyafanya na MUNGU ALIYEKUWA AKIMWAMINI?

JE...KIFO CHAKE NI MAPENZI YA MUNGU?

SOTE TUMO SAFARINI.

Amen.
 
Watu wasijehusisha hiyo accident na mgogoro wa kiuongozi aliokuwa nao ndani ya CHADEMA.

Mungu aiweke roho ya marehemu pema peponi. Sote ndiyo njia yetu hiyo.
 
RIP Wangwe. You have been a true champion of democracy to the end of your life. May God bless and look after your familly.
 
RIP Chacha Wangwe.


Watu wasijehusisha hiyo accident na mgogoro wa kiuongozi aliokuwa nao ndani ya CHADEMA.

Mungu aiweke roho ya marehemu pema peponi. Sote ndiyo njia yetu hiyo.

Kama watu kuugua mafua tu na kulazwa Muhimbili kwa mapumziko mafupi inahusishwa mara moja na mambo ya kisiasa sembuse huyu aliyekuwa mlengwa mkuu katika mgogoro wa uongozi hapo Chadema.
 
Tragedy! kumbe huko Chadema nako kuna Ku-Kolimbana. Pole mjane na ndugu wote
Mh, taratibu wewe... Hakuna cha mkono wa mtu wala nini. Hizi imani za mikono ya watu ni mbaya. I do not trust in it either. Wakikusikia...
 
inna lillah waina ilaihi rajiuun..sisi sote wa MwenyeziMungu na Kwake tutarejea...Waliohai wanacho cha kujifunza kutoka kwake...
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom