Guys,
Binafsi sioni tatizo la haki kwamba ipo tu kwa baadhi ya watu wenye wadhifa fulani..Hata Yule Saadam Hussein aliponyongwa nilishikwa na hasira, huruma na mchanganyiko wa kuona kwamba haki haikutumika..Kwa hiyo sii kweli kwamba maadam Chadema walisema Chacha Wangwe alikuwa na Njama za kukiua chama ama kumwondoa Mbowe haina maana alistahili kifo na kwamba viongozi wa Chadema wafurahie kifo hiki badala ya kulia kinafiki.
Huyu kijana kusema kweli anaweka mashalka makubwa sana tena mimi baada ya kuona maelezo ya baba yake ndio kwanza nimezidi kumhofia zaidi..Huyu kijana alipomaliza shule ya msingi alihamia dar na akaweza kujisomesha jambo ambalo baba yake hafahamu aliweza vipi.. anachofahamu ni kwamba mwanae kajifunza mambo ya Komputa na msanii mzuri tu ktk uchoraji!..(hii ndio kamba kubwa ya majasusi wote kwa familia zao) Kama kweli huyu kijana alikuwa mchoraji iweje awe ktk msafara wa viongozi tena Ulaya Zurich ambako inasemekana aliacha pasi yake ndani ya ndege!..Yet, aliweza kubadilisha ndege kuendeklea na safari.. mhhhh!Aliweza vipi kuunganishwa na msafara huo kisha basi tunaambiwa tena alikwenda hadi Libya na baadhi wabunge hawakufahamu sababu ya huyo kijana kuwepo ktk msafara huo!..Hii ina maana aliweza kuingia Libya na kutoka bila pasi halafu akashuka Nairobi kukutana na sijui mtu gani kabla hajarudi Dar... Hee jamani kweli huyu mtu wa kawaida kama Mkandara hapa!
Kweli wazee hii imekaa sawa kwenu?
Binafsi sioni tatizo la haki kwamba ipo tu kwa baadhi ya watu wenye wadhifa fulani..Hata Yule Saadam Hussein aliponyongwa nilishikwa na hasira, huruma na mchanganyiko wa kuona kwamba haki haikutumika..Kwa hiyo sii kweli kwamba maadam Chadema walisema Chacha Wangwe alikuwa na Njama za kukiua chama ama kumwondoa Mbowe haina maana alistahili kifo na kwamba viongozi wa Chadema wafurahie kifo hiki badala ya kulia kinafiki.
Huyu kijana kusema kweli anaweka mashalka makubwa sana tena mimi baada ya kuona maelezo ya baba yake ndio kwanza nimezidi kumhofia zaidi..Huyu kijana alipomaliza shule ya msingi alihamia dar na akaweza kujisomesha jambo ambalo baba yake hafahamu aliweza vipi.. anachofahamu ni kwamba mwanae kajifunza mambo ya Komputa na msanii mzuri tu ktk uchoraji!..(hii ndio kamba kubwa ya majasusi wote kwa familia zao) Kama kweli huyu kijana alikuwa mchoraji iweje awe ktk msafara wa viongozi tena Ulaya Zurich ambako inasemekana aliacha pasi yake ndani ya ndege!..Yet, aliweza kubadilisha ndege kuendeklea na safari.. mhhhh!Aliweza vipi kuunganishwa na msafara huo kisha basi tunaambiwa tena alikwenda hadi Libya na baadhi wabunge hawakufahamu sababu ya huyo kijana kuwepo ktk msafara huo!..Hii ina maana aliweza kuingia Libya na kutoka bila pasi halafu akashuka Nairobi kukutana na sijui mtu gani kabla hajarudi Dar... Hee jamani kweli huyu mtu wa kawaida kama Mkandara hapa!
Kweli wazee hii imekaa sawa kwenu?