corporate kwa kiswahili maana yake nini ?Unfortunately, that’s the language corporate America understands.
huwa nasikia tu corporate lady, corporate this , corporate that ?
what is the real meaning of the word corporate in swahili of course ?
corporate kwa kiswahili maana yake nini ?Unfortunately, that’s the language corporate America understands.
Ndio alimtoa Faraja Nyalandu, Nancy Sumari na Wema Sepetu..Mie nimemfahamu muda ,alikuaga na hy project ya walimbwende,Yuko very smart na mikakati anaijua,Kipi kianze,Kipi kisubiri muda gani na kiweje
Wanakuonea huruma! Siku utapata mbabe wakoUmeona alicho jibu? Au na wewe uache cheka kama chizi?
mbona kuna vichaa wengine wako poa sana, wala hawagombani hovyo na kila mtu.Yaani wewe kila mtu unagombana nae kama kichaa vile😂
Mimi ndo mbabe, ni wao wanatafuta ujiko kupitia mimi.Wanakuonea huruma! Siku utapata mbabe wako
Huyu basi kavuka kwenye ukichaa yupo uwendawazimumbona kuna vichaa wengine wako poa sana, wala hawagombani hovyo na kila mtu.
Nikikumbuka uturn enzi hizo hatari.Ndio alimtoa Faraja Nyalandu, Nancy Sumari na Wema Sepetu..
Ameitawala internet toka enzi za blog hadi social media. Na kila anachokifanya kinakuwa successful
Hata developers wa Tanzania walishangaa alivyopiga pesa ndefu kwenye app. Kitu ambacho wao pamoja na grants ndefu hawajawahi fanya
She is smart, strategic, exceptionally consistent na ana strong intuition. Ukiambiwa ni mtoto wa ex-officer wa usalama wa taifa hukatai. She is GIFTED 📍
Wewe ni msengelema tu, Mnatafuta kila mbinu lakini mnaishia kula za uso tu ndanda head nyieHuyu basi kavuka kwenye ukichaa yupo uwendawazimu
That lady hata humu alikuwepo ilikuwa Moto wa kuotea mbali Nyuzi zake Views 2M per day🤣🤣Ndio alimtoa Faraja Nyalandu, Nancy Sumari na Wema Sepetu..
Ameitawala internet toka enzi za blog hadi social media. Na kila anachokifanya kinakuwa successful
Hata developers wa Tanzania walishangaa alivyopiga pesa ndefu kwenye app. Kitu ambacho wao pamoja na grants ndefu hawajawahi fanya
She is smart, strategic, exceptionally consistent na ana strong intuition. Ukiambiwa ni mtoto wa ex-officer wa usalama wa taifa hukatai. She is GIFTED 📍
huo mstari ndio ulio haribu wasilisho lako, otherwise una hoja.Yaani unaambia mwanamke ni rider alaf umeweka makebo yako kwa kochi?
tumkumbuke kwenye maombi.Huyu basi kavuka kwenye ukichaa yupo uwendawazimu
Hakuna Nime insist tuhuo mstari ndio ulio haribu wasilisho lako, otherwise una hoja.
The way your point was pressed came across a bit too strong and caused some unnecessary tension. A more polished approach would have prevented such misunderstandingHakuna Nime insist tu
Imagine ana kigugumizi 😁😁 pengine ndio maana kwenye kuandika yupo 10/10That lady hata humu alikuwepo ilikuwa Moto wa kuotea mbali Nyuzi zake Views 2M per day🤣🤣
Story za madada wa mjini 😁😁😁Nikikumbuka uturn enzi hizo hatari.
HahahaImagine ana kigugumizi 😁😁 pengine ndio maana kwenye kuandika yupo 10/10
Aliacha umbeya, akaipiga siasa ila alivyorudi kwenye umbeya kwa kutumia app. Bado akawa vizuriwasi wasi wangu ni kwamba hata kama akaunti yake ikifunguliwa tena leo sidhani kama itakuwa moto kama ilivyokuwa mwanzoni na sababu kubwa ni jinsi nature ya binadamu ilivyo, hiyo gap ya kuwa offline ni kubwa kuja kuirudisha wengi walisha move on.
atakuwa na kazi ya ziada kurudisha old glory days, it will never be the same again kwa maoni yangu ...