NasDaz, rejea hoja yangu, nadhan huku katikati tumeanza kugawana njia, hatetewi mtu, nilieleza wasiwasi wangu na mambo yote yaliyocenter around the whole issue na nkaiweka hiyo clip ili at least kushed light kuwa ipo technologia ya kulishana maneno kwenye hii planet earth, Na nikaelezea kuwa asbh ya jana watu walikita urguments zao kuwa mtu anawezaje kulishwa maneno??? Ndio nikaweka hiyo kutoa mwanga kwa wale wote wasiofahamu hii maneno. Bado tunamsubiri muhusika/mahakama kutueleza ukweli, hili sio jukwaa la kuhukumu au kukanusha tuhuma. Ila tu ni vyema tukawa na mtazamo mpana zaid katika ujengaji wa hoja zetu.
I like honesty answers!! Labda nikuambie kitu kimoja....binafsi nina taabu na wale ambao moja kwa moja wanapinga simply because kuna video manipulation technology huku wakiwa hawatuoneshi wapi the video under question imekuwa manipulated!
On the other hand, mimi najihisi ni mtu wa ajabu kidogo! Unajua nini? Mkuu wangu
Patriote sifahamu nafasi yako ktk CHADEMA ipo vipi....i mean, ikiwa nawe ni viongozi wa CHADEMA, wala sitaona taabu nikikuona unakanusha kwamba hii video ni fake....kama kiongozi, una wajibu huo coz' that's how politics work unless kama cha kukanusha chenyewe kipo wazi; kukanusha itakuwa uendawazimu!! Hivyo basi, nikuone wewe(kama upo kwenye CDM Team),
Mwita Maranya,
Molemo au wengine sawa na hao wakikanusha, wala sitakuwa na tatizo coz' nafahamu mnatekeleza wajibu wenu....DAMAGE CONTROL. Lakini vilevile uungwana una-suggest kwamba, ukiona nakupinga, na wewe unafahamu kabisa ninachosimamia ni sahihi, basi usinione mjinga....fahamu tu kwamba, nimegoma kununua political lie/propaganda!
Tatizo lililopo kwa baadhi ya mashabiki wa CHADEMA(am certain, u're not one of them) ni kwamba, sie wote ambao tunaamini kwamba the video ni genuine; we're fool na hatujui lolote abt video manipulation technology as if any video siku hizi lazima itakuwa manipulated!! Hapa, ndipo linapoanza tatizo!